SHE is "single" and bored.....she needs a man in her life too......

SHE is "single" and bored.....she needs a man in her life too......

[h=2][/h]
At the age of 26...mtu ananijia na kuniambia eti 'amekata tamaa'???? Mie nambangolize tu na mikwenzi juu!!!​

ungelipenda akushtue ukiwa na umri gani?
 
binti mwenye umri wa miaka 26 anapolalama kuwa hana mtu tumsaidiaje? Adai anataka awe na wandani wake wa kusaidiana kulisukuma gurudumu la maendeleo.......lakini vijana wengi wanamhitaji kwa ile ya chapuchapu tu............tutamsaidiaje ili afanikishe malengo yake?.......ushauri please...............

Huyo amekuweka kwenye rada zake tayari. Kama wewe ni shikamoo jazz kama mimi na umeshafungwa zile pingu za DC mweleze kuwa nafasi zimejaa. Vinginevyo kama wewe bado ni serengeti boys angalia kama ni wife material na ikiwa huna engagements zozote unaweza kufuatilia.
 
Back
Top Bottom