ani pm kuna mtu anataka nisaidiane nae kusukuma gurudumu la maendeleo na mimi sitaki
Jamani Smile,are you lesibo or what?
[h=2][/h]At the age of 26...mtu ananijia na kuniambia eti 'amekata tamaa'???? Mie nambangolize tu na mikwenzi juu!!!
binti mwenye umri wa miaka 26 anapolalama kuwa hana mtu tumsaidiaje? Adai anataka awe na wandani wake wa kusaidiana kulisukuma gurudumu la maendeleo.......lakini vijana wengi wanamhitaji kwa ile ya chapuchapu tu............tutamsaidiaje ili afanikishe malengo yake?.......ushauri please...............
ungelipenda akushtue ukiwa na umri gani?