She need it back, am confused

Ndg kuwa na msimamo!kama uliamua kumuacha huyo x na kudat na huyo uliyonayo tulia kaka!kumbuka na yeye akiamua kurudiana na huyo mchizi wewe nawe utakuwa wap?embu tuwe binadamu jaman umempotezea tym yake mdada wa watu afu leo huyo aliyekusumbua ndo unamuona anafaa!dah kjana huyo x atakuwa wewe poyoyo maana atakucheat na hata ukijua hana wasiwasi coz atajua mtagombana mwsho wa cku utarud tena coz hauna msimamo!nakushauri baki na uliyenaye tu!
 

U dd it....ntazingatia sana ushauri wako....thnx
 
magombe junior uko kwenye wakati mgumu sana na maamuzi yako kwa wakati huu yanaweza kuathiri maisha yako yote yaliyobaki hapa duniani kwa hiyo ndugu yangu usikurupuke take a deep breath na uchukue maamuzi sahihi,as for me nakushauri jaribu kufanya yafuatayo huku the best weapon of you for now ni kuwa muwazi kwa wote wawili.

kama unaweza kujipa ujasiri mchukue huyo uliyenaye kwa sasa muelezee kisa chako chote cha wewe na huyo x wako na kisha mweleze kwa uwazi kabisa jinsi unavyojiskia kumhusu,na nini kilisababisha muachane na kwa sasa anataka mrudiane tena na umweleze jinsi unavyihis kumwelekea mpaka wakati huo,na kisha mueleze kuwa unamwona kuwa yeye ni mtu mzuri na yeye pia unampenda kwa kiasi chake na wala huoni sababu ya kumwacha kwa ajili ya x wako,kisha mwombe atoe maoni yake au mwaombe akushauri ufanye nini au uchukue maamuzi gani chini ya hali hiyo,majibu yaweza kuwa haya na hayo yanaweza kukuambia ikiwa utarudiana na x wako au utaendela na huyu wa sasa:

1.anaweza kuguswa sana na jinsi ulivyokuwa muwazi kwake,akalia sana na pengine akakwambia hata kama anakupenda sana anapenda uwe na mtu unayempenda na asingependa uwe na yeye ilhali kuna mwingine unampenda zaidi,na umeshindwa kuwa naye kwa ajili yake,na kisha akakuambia anakuset free kabisa tena bila kinyongo ila anakwambia hatujagombana ukihitaji ushauri au ukihitaji ruksa kusaidiana kama marafiki.(hapa unakuwa umemuacha kwa ruksa yake tena kiroho safi kabisa ila na wewe unatumia fursa hii kulia naye pia aone kuwa kwa kweli hata yeye ana thamani kwako kama response ikiwa hivi)


2.anaweza akalia sana na akakwambia kuwa hawezi kuishi bila wewe kwa kuwa anakupenda sana na akasisitiza usimwache na kukwambia utajifunza kumpenda kama huyo wa zamani as the time goes on,akakataa kabisa kukuset free(hapa sasa mkuu utakuwa huna jinsi zaidi ya kumsahau huyo x wako na kustick na huyu uliyenye sasa,kwani tofauti na hapo utakuwa unatafuta laana ya huyo binti)

kwa kusamaraiz tu mkuu magombe junior mshirikishe huyu uliyenaye kwa sasa katika kufanya maamuzi ili kuepusha lawama na kuumiza hisia zake mkuu,ni hayo tu kila la kheri.
 
Last edited by a moderator:
Hamia Kenya, sheria za kule zinakuruhusu kuwa nao wote! Ila ukiwa huko usinywe pombe ya kienyeji kwani itakufanya mbaya!
 
Sasa Kumbe Unajua Unampenda Unataka Ushaur Wa Nn?Just Do Watever U Like Coz Unapewa Uxaur Bt Still Unaweka Kipngamiz How Bad Ur Nyie Ndo,HUNA MSIMAMO
 
Kukazwa mbna ata wako atakua anakazwa tu mchepukon...ile mambo n lastic so never wonder!....

Demu kakuacha kaenda kugawa halaf anarudi anakwambia anakupenda...kakuona ww boya huna msimamo
 
Sasa Kumbe Unajua Unampenda Unataka Ushaur Wa Nn?Just Do Watever U Like Coz Unapewa Uxaur Bt Still Unaweka Kipngamiz How Bad Ur Nyie Ndo,HUNA MSIMAMO

Mpaka mtu afikie kuanzisha thread sio Kwa sabab watu wachangie ila kujaribu kupata experience na ushauri kutoka kwa watu mbali mbali....

Um kuna watu wa aina tofaut ambao kimsing mwsho wa siku lazma utapata ushaur wa maana.....nimeshaurika na tayar nineona busara ni nn....dnt be too emotional...
 
Demu kakuacha kaenda kugawa halaf anarudi anakwambia anakupenda...kakuona ww boya huna msimamo

That is among the variables when i make conclussion....thnx for the concern
 

Thnx mkuu kwa concern na ushauri...

Kwa namna ambavyo nimemfaham my new gal tayar....kwa mfano nikamweleza ayo atakubali mapema sana ila ataumia sana moyon...hua anajua kuvumilia ila anaumia sana ndan.....ana matatzo ambayo when she is really upset anaweza ad kulazwa...

I think i have to thnk of no 2..namuomba mungu aniongoze
 
Last edited by a moderator:
mwacheni atapetape tu, mwisho wake ataujua, what goes round always comes back round
 

Thank you for speaking on my behalf. Muache amrudie huyo X wake ili next time tupate cha kushauri tena.
Shame on him
 

1. old habits die hard
2. it s no problem for her to leave you again, moreover for someone else
3. day dreams aint real, dude...she doesnt love you. lightning dont strike the same place twice....
so wake up buddy.!!!!!!
 
Be a man. Kuwa na msimamo. Mwanaume wa kweli hayumbishwi. Simama kama mwanaume.
 
one thing again nilitaka kusahau mkuu,unapofanya yote hayo jaribu kuangalia upande wa huyo x wako pia ukoje,wewe mweleze tu hali halisi kuwa unajaribu kuona kama unaweza kuyasolve mambo peacefully na mpenzi wako wa sasa na uangalie anarespond vipi,respond zinaweza kuwa kati ya hizi na hizo response pia zitakusaidia kujua ikiwa kwa kweli utamwacha mpenzi wako wa sasa na kumrudia x wako:

1.anaweza akawa so affected kumwelekea msichana mwenzake kiasi anakuwa anakwambia magombe junior usiuumize moyo wa mpenzi wako wa sasa hata yeye ana moyo na hisia kama mimi na najua ukimwacha lazima aumie naona labda tu haikupangwa mimi na wewe kuwa pamoja naomba usimwache mpenzi wako wa sasa na sisi tuendelee tu kuwa marafiki wa kawaida,anaposema hayo jaribu kuwa mtambuzi ili ujue ikiwa kwa kweli anasema kutoka moyoni au ni unafiki tu,kama kwa kweli umeona anasema kutoka moyoni hapo hata ikitokea mkaachana na mpenzi wako wa sasa for good unaweza kuwa na uhakika x wako atakufaa katika maisha yako.


2.anaweza akawa so rude kuelekea msichana mwenzie haishi kusema maneno ya kejeli kuhusu mpenzi wako,kwa mfano anaweza kuamua kusema akae mbali na wewe ndo akome kuchukua mali za wenzie au akawa anakusisitiza kwa nguvu zote,si umwache tu kwani mwaanume uko peke yako tu?ukimwacha wewe atachukuliwa na wengine!!!!!!!!!mkuu hapa ni kukimbia bila kugeuka nyuma huyo hakufai na kama ndo wazo la kurudiana naye futa kabis hata kama umetoka kuruhusiwa na mpenzi wako wa sasa mrudiane naye kwa wakati huo ni bora urudi ukamwombe msamaha ili uendelee na huyo wa sasa, huyo x wako atakuwa amekuthibitishia kuwa hafai na sio mwema,kama asivyojali mwenzie kuumizwa na mapenzi kuna siku pia hatajali kama anakuumiza kimapenzi.

so take care mkuu,na nina ombi moja tu kwako usiache kutupa feedback na mwisho wa huu mkanganyiko.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…