She need it back, am confused


Utapigwa chini tena kijana.tena hyo itajustify jins ulivomuumiza the current girl.KARMA,on its way
 
we songa mbele hujioni ulikuwa wa akiba?
 
kama alikumwaga kipindi kile atashindwa nn sa iz huna akili hata ya kawaida kulijua hili? Mshika 2 moja humponyoka!
 
kama alikumwaga kipindi kile atashindwa nn sa iz huna akili hata ya kawaida kulijua hili? Mshika 2 moja humponyoka!

Apo ndipo ntaanzia....na juna uwezekano nkajiponyosha yote mawili...kuanza upya sio ujinga
 
Mapenzi bwana you only see and hear what you want to see and hear,kwa upande wangu kitu cha msingi ambacho naona unapaswa uzingatie ni kwamba mara ya kwanza kipi kilipelekea mkaachana kama ni kutokana na tabia yake mbaya basi jifikirie sana kumrudia la sivyo itakula kwako ila kama kosa lilikuwa lako na umekua tayari kucorrect mistake basi mkubalie coz moyo wako inaonekana bado upo kwake
 

U gat point somewhere....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…