She need it back, am confused

She need it back, am confused

magombe junior

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,018
Reaction score
1,042
Wasalaam wanafamilia wa MMU...

The women of my dream,my one i wish to be with the rest of my life...the one I had history with....she is back...surprisingly!!..she need me back....

Siku za nyuma nilipata kuwahabarisha kuhusu mwanamke ambae alifanikiwa kuuteka mtima wangu...and at the end I said like I still love and respect her...

Pia nilisema I got someone ambae am interested to...na last week we agreed on having relationship....na kwa sasa ni wapenzi..uyu msichana nlienae sasa kwa kweli hafanani na that x of mine coz she got her style but I seem to fall for her......na kifupi tunepanga mengi tayari..

Kimbembe kimetokea leo...x wangu yule amerudi bongo land na kwa namna yeyote atakua ameshavurugana na mkuu wa kule coz after having a loong conversation she said like she need me back....anadhani am the right guy kwake...

Jamani nikubali kua huyu mwanamke ndie nilikua siku zote natamani awe mke wangu na kuniambia hivyo she made my day ....but what confuses me ni kua tayari I gat committed to some one else...sina sababu ya kumuacha the gal I have now....

Nafanyajeeee!!!....natamani kurudiana na x wangu yule hata sasa hivi tatizo ni namwambia nini huyu bibie nilienae!

My x anasema if I agree means am single and ut means her alone....

Wat do I doooooooo
 
Need it or need you back?
Sijasoma story yako ya nyuma lkn ni bora umuache huyu wa sasa mapema ili urudi kwa old love wako. Maana waweza msaliti hata kwa hisia kama sio kwa vitendo na hautafurahia mahusiano haya mapya kwani hautaacha kumcompare na old love wako
 
Rudi kwa unaemuita x..huyo wa sasa mweleze tu ukwel
 
Need it or need you back?
Sijasoma story yako ya nyuma lkn ni bora umuache huyu wa sasa mapema ili urudi kwa old love wako. Maana waweza msaliti hata kwa hisia kama sio kwa vitendo na hautafurahia mahusiano haya mapya kwani hautaacha kumcompare na old love wako

She it back (relationship)...thnx for yhe concern....ila namna ya kumuacha nilienae ndo inanshinda...labda ujikite apo...
 
Rudi kwa unaemuita x..huyo wa sasa mweleze tu ukwel

How do i tell her?,,,put u in her shoes alaf uniambie how would u fill when some one want it off in a such a quick way.....how would u wish to hear thn utakua karb na jib la nimwambiaje..
 
She it back (relationship)...thnx for yhe concern....ila namna ya kumuacha nilienae ndo inanshinda...labda ujikite apo...
Coming clean is always the best way. Mwambie hupendi kumpotezea muda au kuja kumuumiza baadaye kwani unampenda sana X wako kiasi kwamba unaona ni vyema kumpa uhuru wa kupendwa na right person.
 
Coming clean is always the best way. Mwambie hupendi kumpotezea muda au kuja kumuumiza baadaye kwani unampenda sana X wako kiasi kwamba unaona ni vyema kumpa uhuru wa kupendwa na right person.

Hope she will get it....pia niliona ni wazo zuri ispokua bado niliona litaambatana na maumivu ......
 
Kiukwel kaka hutakuwa hujatenda haki kumuacha huyo wa sasa na hutogundua hlo mpaka pale atakapokusaliti second time kumbuka you feel wat ur girl feel ok,maumiv yk ni yko m2 alikutexa how comes unamuwka akilini,am waiting for the day utakayokuja kulia hapa mara ya pili.
 
Hapo bro ili kazi to solve wape tu mmoja wadau ambaye huna mpango nae kazi inakua imeisha au wazungu wanaitwa deal accomplished
 
Kiukwel kaka hutakuwa hujatenda haki kumuacha huyo wa sasa na hutogundua hlo mpaka pale atakapokusaliti second time kumbuka you feel wat ur girl feel ok,maumiv yk ni yko m2 alikutexa how comes unamuwka akilini,am waiting for the day utakayokuja kulia hapa mara ya pili.

Umesema kwa hisia...ni kwel ndo mana am jst bother myself namwambiaje nlienae now....tht x of mine n msichana ambae i realy an trully love na kikwazo kilikua the guy ambae alikua nae....so km wamemalizana ts my go ahead coz ata nlienae siishi kumfananisha na yule..
 
opportunist tu wewe.huna lolote.porojo nyingi kama kweli.haka kajukwaa kamejaa utoto na watoto
 
Sijui historia yako na x wako,lakini jambo la msingi ni hivi,huyo x wako kilichomfanya akuache akaenda kwa mwengine ni kipi? Na je bado kipo hicho kilichomkimbiza? Yupo lonely hivyo anatafuta kwa kuegemea.

Binafsi mtu akishaamua kuvunja uhusiano na akaamua kuwa na mtu mwingine basi hata kama nampenda sitoweza kuwa naye kwa amani.Kama unaamua kumuacha wa sasa basi hakikisha sababu ya kuachana na x inafanyiwa kazi otherwise utamkumbuka unayemuacha
 
Pole zimfikie anaetakiwa apigwe kibuti, kweli mavi ya kale hayanuki!
 
Watu mnapenda kuumiza watu!
Neeeenda bana kwani shiiiing ngaaapi?
Mnaanzisha mahusiano mapya ya nini kama mliyokuwa nayo hamjamaliza biashara?

If u knew the story u wouldnt dare say that...by the way u seem so sensitive...wat the matta!
 
she needs it back na si she need it back. mleta mada ni muongo na mjivuni. to hell...
 
Back
Top Bottom