Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mdogo wangu anawashwa sana ukeni nini itakuwa tatizo??
ukiambiwa kajinyonge utalalamika?
of course nashangaa kama wewe ni binadamu wa kawaida, badala ya kuitafuta hosp ilipo uko hapa unamtafuta Dr JF, pathetic!
ukiambiwa kajinyonge utalalamika?
mdogo wangu anawashwa sana ukeni nini itakuwa tatizo??
ukiambiwa kajinyonge utalalamika?
pia ashtue shtue naskia muhogo ni dodoki safi sana huko...ukikaa sana bila kudu kunakuwa na matatizo...source sio smileKila kitu Gynae jamani? Hizi ni fungus tu, tena hazikawii Kuisha kwa kubadili mtindo aw maisha tu.
awe ananawa na maji ya uvuguvugu na dettol soap, ajikaushe vizuri. Avae vyupi ambavyo ni pure cotton na vifuliwe na kuanikwa Juani. Usiku awe anapunga upepo.
Ikiendelea kwa wiki mbili, akaonwe na dr aw kawaida kwanza. Kama Hana discharge, inaweza isiwe tatizo kubwa