She wants to pay me "in kind"

Bro umeenda kumdai mwanamke elfu 12 kweli. Daaah mazee jifunzen kuwa na utu basi. Cpat picha unamfokea kabisa aisee Mungu tu atusamehe. Binadamu wanapitia magumu sana aisee kama umejaaliwa fursa kidogo cha kumsaidia tu mzima anakuja kwako kukuomba Chief msaidie. Maisha sio milee. Muda unatibu. Umeniaharibia siku.
 
Unyama unyama yani, atalipa tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kama ni hela ya tz msamehe.
Kama ya nchi nyingine pengine atatokea msamaria humu amlipie.

Hiyo ya kutafuta gesti nzuri ujue imeandikwa na mumewe.

Do for your own risk.
Hili nalo neno
[emoji724][emoji732][emoji727][emoji845][emoji3480][emoji780][emoji777][emoji779][emoji779]
 
Kama ni hela ya tz msamehe.
Kama ya nchi nyingine pengine atatokea msamaria humu amlipie.

Hiyo ya kutafuta gesti nzuri ujue imeandikwa na mumewe.

Do for your own risk.
Huo ni mtego tu, asijae ataumia na kesi kibao.

Yeye atumie njia nyingine tu kama anataka hela yake.
Ni bora kupotezea madai ya hela kuliko kutake hyo offer ya mdaiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…