She wants to pay me "in kind"

Imategemea kipato chako lakini elfu 12 sio hela nyingi ya kuja kuomba ushauri hapa. Busara ni kumsamehe kwani biashara haiku.muendea vizuri. Au kama ni rijali kubali akulipe penzi mbona utakuwa umepata mbususu kwa bei chee kabisa.

Usimfanyie ukatili wa kukamata bidhaa zake laana itakuandama.
 
Akifuata hiki unachomshauri atakuwa hana akili kabisa.

Kumfanyia unyama binadamu mwenzio tena mtu aliyekwama ni uwendawazimu.

Unapoamua kukopesha ujue unatake risk, hela inaweza isilipwe. Kama amekwama akulipe toka wapi?
 
12000 Kenyan Shillings sio hela ndogo Kama unavyodhani mkuu.
 
12000 Kenyan Shillings sio hela ndogo Kama unavyodhani mkuu.
Angalia kati ya utu na hela nini kinakipa kwako zaidi lakini kumbuka hata wewe kuna siku utajakwama pia! So tumia utu, mkuu fanya kama ni mama au Dada yako huyo anayapitia hayo, je ungejisikiaje kumkuta anauza utu wake kisa deni,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…