Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Mkuu kwa miaka hiyo huyo mtoto hajawa na hadhi ya kuvaa nguo mkuu.Mzee hongera kwa uandishi uliotukuka...lakini pia hongera kwa wazazi wako waliokulea vyema hata ukawa na afya A toka utotoni. Ila walisahau kukuvalisha shati ha ha ha
Hata hivyo huyu mzee niseme ni moja ya watu waliotoka familia bora
Enzi hizo hata kupigwa picha ndugu yangu, aseeee
Asee hua kuna wakati naona aibu najua mtu mzima niko pekee yangu kumbe na wengine wamoo