pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Kuna umuhimu wa kuadjust katiba ili mshindi wa pili arithi automatic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.... Act hawatakiwi kushiriki kipumbavu. Ni lazima kwanza ufanyike uchunguzi huru kubaini kilichotokea (kwa mujibu wa madai ya Act); wahusika wawajibishwe, n.k. Isiwe suala la kukimbilia jimbo na huenda CCM "wakajitoa" ili Act wapite bila kupingwa! Hii iwe case study.Act wakishiriki Tena huo uchaguzi ntaamini maneno yako. Maana walituambia hawatashiriki uchaguzi
Mama yeye sio muislamu au yeye ni mwichilamu kma wamakondeMuislamu wa kweli hawezi kuwa sehemu ya dhuluma na uonezi. Hongera kwake kwa kufanya uamuzi sahihi
Angejiuzulu kipindi cha MagufuliKuna watu hawapendi kujiunganisha na dhulma na uonezi!
Kafanya jambo la kheri.
ACT wananufaika na umoja wa kitaifa maana wamepata mawaziri mpaka makamu wa RaisACT wametishia kujitoa kwenye serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, hivyo ccm wameona watazidi kuchafuka, hatimaye ikabidi wamtake huyo mbunge ajitoe kuepusha chama chao kuzidi kuchafuka.
ACT wametishia kujitoa kwenye serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, hivyo ccm wameona watazidi kuchafuka, hatimaye ikabidi wamtake huyo mbunge ajitoe kuepusha chama chao kuzidi kuchafuka.
Tetezi ni kwamba huyu mgombea hakubaliani na mfumo wa kidikiteta wa maza wa kuwabambikizia wapinzani wake kesi za ugaidi badala ya kuwajibu kwa hoja
Unaijua sababu iliyomfanya ajiuzulu?Hii nafasi naomba mnipatie niongoze hilo jimbo.
Bado hawajafanya kitu kwani uchaguzi utarudiwa na ACT walisema hawatashiriki tena chaguzi labda wakengeuke hivo bado CCM watatangazwa washind, kiufupi CCM ninaona kama inaelekea mwisho hivi