Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kwa nini haujaweka alama ya kuuliza?(?)Swali liko wapi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini haujaweka alama ya kuuliza?(?)Swali liko wapi!
?Kwa nini haujaweka alama ya kuuliza?(?)
Wewe jamaa ungekuwa karibu ulitakiwa upimwe hicho kipara kama ni orijino au umenyoa tu ili ujiite bosi.😂😂😂
Tafadhali usije kupitwa na Taarifa hii, kwamba Shehe Msomi Ally Kadogoo leo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, baada ya kujizolea 66% ya kura zote.
Uchaguzi huu ulifanyika Kibaha Mkoa wa Pwani
View attachment 3116375
Kanda ya ziwa na Serengeti akina nan wameshinda?Ndio
Tulishatoa taarifa humuKanda ya ziwa na Serengeti akina nan wameshinda?
Mkuu, siku hazigandi, using'ang'ane hapo hapo, utapitwa na mengi.Juhudi na taarifa kama hizi ulitakiwa ungetuletea trh 23/9/24 lakini mkamuacha Mbowe na mwanawe tu!
Mkuu, hiyo ndiyo elimu ya vijana wa miaka hii, na hapo amejitahidi sana.Kwa nini haujaweka alama ya kuuliza?(?)
Kama hesbullah na israel hahakugombea uongozi chadema kunataka moyo wa chuma.na kujikana nafsi mana.muda wowote wale jamaa wanaweza kukubadilisha jina.
Si kwa usaliti ule hata wakiitwa leo tena hato toka!Mkuu, siku hazigandi, using'ang'ane hapo hapo, utapitwa na mengi.
Chadema wanawindwa kama viongozi wa Izbula au Hamaskugombea uongozi chadema kunataka moyo wa chuma.na kujikana nafsi mana.muda wowote wale jamaa wanaweza kukubadilisha jina.
Aliyekuroga kafaWewe jamaa ungekuwa karibu ulitakiwa upimwe hicho kipara kama ni orijino au umenyoa tu ili ujiite bosi.😂😂😂
Tulishatoa taarifa humu
Ulitoa taarifa kwenye uzi upi na liniTulishatoa taarifa humu
Ushapanic!Ulitoa taarifa kwenye uzi upi na lini
Kwani ukiwataja utapunhukiwa kitu gan unakuwa kama mshamba mshamba
Ukishaona shehe anajihusisha na siasa ujue uyo ni shehena