Shehe Dkt. Sule: Kinachowaunganisha Waislamu na Wapalestina ni Msikiti wa Al Aqsa siyo Ardhi. Wakristo hawahusiki kwa lolote!

Acha propaganda za kutengenezwa na kuhaririwa na waarabu you tube Faiza.Na huyo sule ana habari ya upande mmoja tu wa waislamu na waarabu.
Tatizo waarabu waislamu na waislamu wana chuki na wayahudi sababu wameshindwa kuifuta dini yao iliyozalisha ukristo.
NB: HIYO HOTUBA NADHANI HUJAIELEWA NA HUJUI WAZIRI MKUU MEIR ALIKUA ANAZUNGUMZIA NINI.
NA ILIKUA KWENYE KIKAO GANI NA MWAKA GANI???
UNALETA USHABIKI TU WA KIDINI NA CHUKI BINAFSI DHIDI YA WAYAHUDI
 
Jifunze kwanza kuandika mkuu. Mbona sisi tunajua huyo Mzee wenu mbakaji mnamuita nabii tumekaa kimya.
Wakirito awajatajwa na biblia sababu yesu hakuacha watu wanao itwa wakirito mashariki ya kati
 
Kwan huo msikiti wamejenga kwene ardhi ya nani??
 
Kwa mwandiko huu unapata wapi ujasiri wa kuargue na watu wenye akili?
Nchi hii uhuru umezidi kupita kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…