Shekh Mtumishi wa Mungu na wanadamu. Shekhe mwenye baraka zake kwa Mungu.Taarifa iliyotolewa na Shehe mwenye ushawishi mkubwa sana kwenye eneo la maziwa makuu, Ponda Issa Ponda na kunukuliwa na gazeti la Raia Mwema, anaeleza kwamba kuna zaidi ya mashehe 300 waliorundikwa rumande bila kupelekwa mahakamani kwa zaidi ya miaka 10.
Bali haijafahamika sababu hasa ya kuwakamata viongozi hao wa kiroho na kuwaweka kizuizini kwa miaka yote hiyo bila kuwasomea mashtaka yanayowakabili na wala haijulikani kama wote hao wanatuhuma zinazofanana ama la.
View attachment 2346464
Chanzo: Raia Mwema
Hizo zilikuwa porojo za ccm iliyofeli tangu enzi zile. Naona na wewe uliingizwa mkenge kwa propaganda.We have to be careful hapa, tusichukue advantage tu ya kuwa Rais huyu ni Mwisilamu basi atatoa kauli. Ninavyojuwa kazi ya She iko Msikitini kuongoza ibada mbalimbali. Mpaka uone Serikali hasa wakati wa JK Mwisilamu mwenzao akiwaweka ndani ujue taarifa zao zilikuwa za hatari.
Toka Hawa watu wawekwe ndani uchomaji makanisa na kuua mapadri kulikoma. Kama tungecheka na nyani basi hawa Alshabab wangetusumbua kama walivyoisumbia Mozambique
CUF inaingiaje hapo? Yaani Shehe unaacha kazi zako za kuongoza roho za wanadamu unaanza mambo ya siasa?Hizo zilikuwa porojo za ccm iliyofeli tangu enzi zile. Naona na wewe uliingizwa mkenge kwa propaganda.
Ccm ilizidiwa na CUF wakaanzisha vita hiyo ya kiimami ili kuwadhofisha. Bara huku walishindwa walikutana na visiki vya mpingo hadaa zikafeli
Kwani walipoimba chadema na wakristo ulikuwa wapi?CUF inaingiaje hapo? Yaani Shehe unaacha kazi zako za kuongoza roho za wanadamu unaanza mambo ya siasa?
Siasa ni maishaCUF inaingiaje hapo? Yaani Shehe unaacha kazi zako za kuongoza roho za wanadamu unaanza mambo ya siasa?