Shehe Ponda aliamsha, adai Mashehe 300 wameswekwa rumande miaka 10 bila kesi

Shekh Mtumishi wa Mungu na wanadamu. Shekhe mwenye baraka zake kwa Mungu.
 
Hizo zilikuwa porojo za ccm iliyofeli tangu enzi zile. Naona na wewe uliingizwa mkenge kwa propaganda.
Ccm ilizidiwa na CUF wakaanzisha vita hiyo ya kiimami ili kuwadhofisha. Bara huku walishindwa walikutana na visiki vya mpingo hadaa zikafeli
 
Hizo zilikuwa porojo za ccm iliyofeli tangu enzi zile. Naona na wewe uliingizwa mkenge kwa propaganda.
Ccm ilizidiwa na CUF wakaanzisha vita hiyo ya kiimami ili kuwadhofisha. Bara huku walishindwa walikutana na visiki vya mpingo hadaa zikafeli
CUF inaingiaje hapo? Yaani Shehe unaacha kazi zako za kuongoza roho za wanadamu unaanza mambo ya siasa?
 
CUF inaingiaje hapo? Yaani Shehe unaacha kazi zako za kuongoza roho za wanadamu unaanza mambo ya siasa?
Kwani walipoimba chadema na wakristo ulikuwa wapi?
Ccm with its all instruments can do anything, say anthing ili iendelee kutawala bila kujali damage itakayotokea kwenye jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…