Tapeli katapeliwa.Habari wadau..
Mtia nia maarufu kama shehe sharif majini analalamika uchaguzi wa kura za maoni jimboni kwake haukuwa wa haki.. na ameshindwa kwa mbinu chafu..
Swali nalojiuliza.. je majini hayana msaada ya kumlinda mtu wao asiibiwe kura?
Je kina sisi tunaopeleka shida zetu kutatuliwa kwa nguvu za majini yake huwa tunatapeliwa?
Handeni ndio kwenyewe huwezi pita Kama wewe "mwepesi"Handeni vijijini.
Inaonekana yule mshindi nayeye yuko fit sana kwenye miziziology na figisu figisu.