hakuna maana yoyote, sasa mnashangaa nn kuona anatabiri na yote yanakuwa, sioni hoja hapa!!! kwani nini asiyejua ushirikina nini? nani asiyejua shetani anweza kufanya nini? na mawakala wake ni akina nani? nani asiyejua Mungu anweza kufanya nini? na mawakala wa Mungu wanaweza kufanya nini!
Tusifurahi tuuu, au tusiwe kama wachanga wa imani! so let him show us, BUT mti mwema au mbaya hujulikana kwa matunda yake eventualy!!!. guyz thay is the world of the spirits, it is knowldge, some one soo naive might be traped and entirely rest on the bad/good spirit!!. Let us see if his profecy will give glory to GOD, and actualy if you are keen enough you might have known it by now. These are the Times!!