Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Taarifa zilizoingia sasa hivi zinasema kwamba kuna shehena kubwa ya simu za mkononi zimeibiwa uwanja wa ndege ya JK nyerere , watu walioiba simu hizo bado wanatafutwa toka mapema leo asubuhi.
Kama utatokea kuuziwa simu yoyote kutoka UK au ambayo huitambui uzuri tafadhali toa taarifa kituo cha polisi ili kufanikisha zoezi hili
Kama utatokea kuuziwa simu yoyote kutoka UK au ambayo huitambui uzuri tafadhali toa taarifa kituo cha polisi ili kufanikisha zoezi hili