Dini zimejaa mauzauza sanaUkikaa chini vzr ukawaza hizi dini,,,, Acha tu ! Kuna mengi tusiyoyajua ! Kikubwa kila mtu aendelee kuwa na iman yake
Ni kweliKwa Muslim siyo story, kwasababu wanaamini Majini ni viumbe wa mungu na kila binadamu anajini wake.......so ni jambo la kawaida sana kama umekaa karibu nao kama huna interaction nao hilo jambo litakusumbua sana
KafiriHii dini hata kwa mtutu wa bunduki hunisilimishi
Huyo alikuwa jini FaizaFoxySheikh Sharif Firdaus ,muuza maji na mafuta ,mtoto aliyekuzwa na Mazinge anasema amekuwa akifturisha Hadi majini
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1H2A3tCEky/
Shehe au shetani! Nijuacho ni tapeli wa kawaida anayesumbuliwa na njaa na uzwazwa.Sheikh Sharif Firdaus ,muuza maji na mafuta ,mtoto aliyekuzwa na Mazinge anasema amekuwa akifturisha Hadi majini
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1H2A3tCEky/
Mazinge alituambia huyu dogo alitokea familia ya Wakristu kuna ukweli wowote kwenye hili?Sheikh Sharif Firdaus ,muuza maji na mafuta ,mtoto aliyekuzwa na Mazinge anasema amekuwa akifturisha Hadi majini
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1H2A3tCEky/
Mnamkana mwenzenuShehe au shetani! Nijuacho ni tapeli wa kawaida anayesumbuliwa na njaa na uzwazwa.
Mazinge anamtumia huyu dogo kupiga pesa za wajingaMazinge alituambia huyu dogo alitokea familia ya Wakristu kuna ukweli wowote kwenye hili?
Wala haiitaji kushangaa dini yenyewe inawakubali na ni sehemu muhimu sana kwa imani yao hao mapepo. Ndiyo maana wanasema wapo mapepo wazuri.Dini kidogo uganga kidogoSheikh Sharif Firdaus ,muuza maji na mafuta ,mtoto aliyekuzwa na Mazinge anasema amekuwa akifturisha Hadi majini
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1H2A3tCEky/
Ila jini ndio muisilamu swafi! 😄Kafiri