Sheikh Alhad Mussa Salum huna ubavu kuufunga mjadala huu

Sheikh Alhad Mussa Salum huna ubavu kuufunga mjadala huu

Wamevipigia simu vyombo vya habari na magazeti yasizungumzie tena suala la bandari huyo sheikh katumwa huyo😁

Nchi iloyofitinika
 
Shekhe ubwabwa huyu hamna shekhe humo

Nimemsikiliza huyu aliyewahi Kuwa sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, almaarufu Mussa Alhad kama sikosei.

Amekuja na tamko la hiyo wanayojiita kamati ya maridhiano na amani. Anaongea kinafiki, akiomba viongozi wa Dini kutorushiana maneno kutokana na kadhia ya mkataba wa DP-WORLD.

Ameenda mbali na kusema sasa yete na kamati yake,wanaufunga mjadala na anaomba tuiachie serikali itimize wajibu wake kutokana na maoni ya wananchi kutosha sasa.

Sasa nikashindwa kumuelewa. Kwa sababu mpaka sasa hakuna viongozi wa Dini waliorushia maneno wenzao, zaidi ya masheikh kadhaa wanaoibuka na taasisi zao tofauti za kiislamu toka huko watokako.

TEC walikwishamaliza kazi yao na sasa waraka unatembea kwa kasi ya 5G. Yeye Sheikh Alhad angeacha kuzunguka mbuyu na awaambie wenzake waache upotoshaji bali waujadili mkataba husika na waseme vifungu wanavyoviunga mkono ili jamii iwaelewe.Badala ya kuja na hoja za Udini bila mkataba mkononi kama walivyofanya wenzao wasomi wa TEC.

Nguvu inayotumika inaiabisha serikali mmefikia hatua mnatuletea hadi Masheikh walioondolewa madarakani kwa kashfa za kuingilia ndoa za kina Dk Mwaka? Masheikh ambao walikuwa wakijibizana na kina Mange Kimambi?

Kweli Deep World?
 

Nimemsikiliza huyu aliyewahi Kuwa sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, almaarufu Mussa Alhad kama sikosei.

Amekuja na tamko la hiyo wanayojiita kamati ya maridhiano na amani. Anaongea kinafiki, akiomba viongozi wa Dini kutorushiana maneno kutokana na kadhia ya mkataba wa DP-WORLD.

Ameenda mbali na kusema sasa yete na kamati yake,wanaufunga mjadala na anaomba tuiachie serikali itimize wajibu wake kutokana na maoni ya wananchi kutosha sasa.

Sasa nikashindwa kumuelewa. Kwa sababu mpaka sasa hakuna viongozi wa Dini waliorushia maneno wenzao, zaidi ya masheikh kadhaa wanaoibuka na taasisi zao tofauti za kiislamu toka huko watokako.

TEC walikwishamaliza kazi yao na sasa waraka unatembea kwa kasi ya 5G. Yeye Sheikh Alhad angeacha kuzunguka mbuyu na awaambie wenzake waache upotoshaji bali waujadili mkataba husika na waseme vifungu wanavyoviunga mkono ili jamii iwaelewe.Badala ya kuja na hoja za Udini bila mkataba mkononi kama walivyofanya wenzao wasomi wa TEC.

Nguvu inayotumika inaiabisha serikali mmefikia hatua mnatuletea hadi Masheikh walioondolewa madarakani kwa kashfa za kuingilia ndoa za kina Dk Mwaka? Masheikh ambao walikuwa wakijibizana na kina Mange Kimambi?

Kweli Deep World?
Tunamtaka shehe Ubwabwa atueleze zile AC alizipeleka wapi?
 
Nimeisikiliza huyu sheikh ni zero brain hivi ni wapi wametupiana maneno halafu mbona kapita mulemule kwenye tamko la TEC.

Hongereni sana TEC tamko lenu limeibua mambo mazuri sana kwa ajili ya Taifa hili limesaidia pia kuwajua wenye AKILI na mazuzu ambao hatutowaamini tena hakika sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.

Ukiacha hao wachungaji wawili sijui hata ni wa madhehebu gani hiyo jumuiya imejaa wavaa vibarakashia acheni usanii kwenye hili suala zito la Bandari na Nina wasihi wananchi tuendelee kupaza sauti.
 
Apeleke makobazi yake msikitini.... Mbwa huyo
 
Back
Top Bottom