johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Shehe wa mkoa wa Dsm, Alhad Salum amesema amani yetu ni tunu ya Taifa hivyo ni jambo jema kabisa kama itapatikana Tume huru ya uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu ie 2020.
Sheikh Salum ametoa maoni katika mahojiano ya waandishi wa habari na viongozi mbalimbali wa dini akiwemo Katibu mkuu wa Jumuiya za waislamu sheikh Ponda.
Chanzo: Mwananchi
Sheikh Salum ametoa maoni katika mahojiano ya waandishi wa habari na viongozi mbalimbali wa dini akiwemo Katibu mkuu wa Jumuiya za waislamu sheikh Ponda.
Chanzo: Mwananchi