Sheikh asema bima zote ni haramu

taja miaka ipi. ukiona picha za mwarabu kabla ya mafuta hapa utalia machozi.
 

 
K kumbe ww jamaa ni ndugu katika Imani, hakika unastahili kuwa hilo kundi maana sio kwa shombo unazotemaga humu jf
 
Dini ya haki huku wanachapa watu viboko kwasababu wanakula kipindi cha ramadhan?
Walivyokuwa wajinga, Tanzania hakuna hospital ya kiislamu hata moja.
98%ya vitu au bidhaa wanatumia za makafiri😁😁😁😁
 
Angalia kama kuna mfia dini tajiri dunia hii
 
Uislam ni kitu kipya sana, Kuna empire zilikuwepo kabla hata ya uislam, Rome empire au China dynasties zilikuwepo maelfu ya miaka kabla ya uislam na zilikuwa zina civilization na way of life superior kuliko nchi nyingi zilizoendelea sasa , ukienda sehemu kama China sasa ukaongea uislam au ukristo unaonekana chizi tuu, hizi dini ni human creation na hazina ukweli wowote ndio maana huwezi ukauliza maswali ukajibiwa zaidi ya Imani tuu, za kupewa changanya na zako
 
Unakuta mtu anakataa kukopa kwa riba,
na huyu huyu anapita matakoni kwa wenzie.
Imani hizi ni aina ya ugonjwa mwingine wa akili
 
Sheikh kasema bima Ni Haram. Tuchukulie sheikh Hana elimu ya kutosha kuhusu risks. Je kwa akili yako wewe Webabu unaona bima Ina maana au haina?
Hata mimi sina elimu kuhusu risks na wewe pia.Ni kubahatisha tu.
Bima haina maana yoyote.Iwe kitu cha hiyari.Wanaotaka wawekewe bima na tusiotaka tuachwe tumtegemee Mungu
 

Hiari yashinda utumwa, Sio lazima kujipatia bima kama unajimudu. Ila angalia sana...wengine wanasema wanatibu kwa kutumia majini. Isijekuwa wanakataza watu wasiwe na bima, ili kuboresha miradi yao tapeli ya uganga wa kienyeji.
Ukienda vijijini unaweza kupata mshituko sana ukiona jinsi watu wanavyowaamini waganga wa kienyeji, hata katika magonjwa ambayo yanahitaji kutibiwa kawaida hospitalini. Wakishindikana wanapelekwa hospitalini wakiwa na hali mbaya.
Ujinga kwa mwanadamu ni kitu kiovu na kibaya sana. Ni maradhi yasiyotibika na ndio maana wajinga wanatumiwa na hao wenye akili wakisingizia wanasimamia dini
 
Kuhusu bima huna chochote cha kusema kupingana na masheikh kuhusu uharamu wake.
Uislamu unapinga kwa nguvu zote uganga wa kishirikina na wakati huo huo unahimiza kutafuta tiba mtu anapoumwa.
Kisichotakiwa ni mambo ya kuishi kwa kubahatisha na kutumia jasho la watu bila ridhaa zao.
Mtu akiumwa ni jukumu la ndugu na jamii kumtibu hata kama hana pesa.Kama ilivyo akifa pia ni jukumu la jamii kumzika akiwa na pesa au hana.
 

Wishing ,you all the best. Iman yako na hiari yako. Acha wengine tuendelee na yetu kimya kimya.After all, mlango wa kwenda kwa Mola, kila mtu ataenda peke yake. Hakuna amsha amsha
 
Kama kweli haya unayoyasema yako kwenye hiyo DINI, basi hiyo sasa ni Satanic verse.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…