Sheikh asema bima zote ni haramu

Sheikh asema bima zote ni haramu

Kama kawaida yake uislamu ni dini ya haki na isiyotoa mwanya wa ujanja,utapeli na unyonyaji.
Masheikh mbali mbali wameendelea kuweka wazi msimamo huo wa uislamu ambao umo kwenye Qur'an na suna za mtume Muhammad rehma na amani zimshukie.
Katika ufafanuzi huo,masheikh wamesema kama itatokea muislamu kulazimishwa na mifumo ya kiinchi kuchangia bima kwa lazima basi siku atakapoumwa na ikatibiwa kwa gharama zaidi ya zile anazochangia kwa mwaka basi ni wajibu kwake kuuliza hesabu hizo na tofauti ya juu aliyokuwa hakuchangia basi aitoe sadaka.
Muhimu kuliko yote asitibiwe kwa pesa walizochangia wengine.Atibiwe kwa pesa zake mwenyewe au zilizochangwa na ndugu na wahisanai wake.

View: https://www.youtube.com/watch?v=OjIHAm_536s

Kama sijaelewa vile!nahitaji ufafanuzi.
 
Hii Dini ina chenga chenga nyingi sana.

Kuna Jamaa mmoja Muislam na ni Lecturer kabisa alikuwa anawahamasisha Waislam kuwa wasikubali pesa zao zihifadhiwe katika hizi local banks zetu kama NMB na CRDB kwasababu zitatumika katika RIBA, hivyo mishahara ikiingia tu watoe pesa zote na kuzificha nyumbani🤣

Ikiwa mambo ndio haya ni bora wakaishi kwenye dunia yao wenyewe isiyo na huu Ukafiri

TAKIBIIIR.......!!!
 
Kama sijaelewa vile!nahitaji ufafanuzi.
Kwa kadri nilivyoelewa mimi.Bima zote ni haramu.
Mambo ya kuishi kiujanja ujanja katika uislamu hayatakiwi.Na haitakiwi kutumia haki ya mtu mwengine bila ridhaa yake.
Ukitaka kujua kuwa si halali angalia malalamiko yaliyojaa kwenye mambo ya bima.
 
Kwa kadri nilivyoelewa mimi.Bima zote ni haramu.
Mambo ya kuishi kiujanja ujanja katika uislamu hayatakiwi.Na haitakiwi kutumia haki ya mtu mwengine bila ridhaa yake.
Ukitaka kujua kuwa si halali angalia malalamiko yaliyojaa kwenye mambo ya bima.
Kwa jinsi nionavyo mimi, ukishajiunga na Bima maana yake umetoa ridhaa haki kutumika kutibia wengine wenye uhitaji kwa wakati huu na wewe ukiwa na uhitaji utatumia za wengine. Ndio basic principal ya Bima ilivyo. Sasa hapo kusema kuwa haki ya mtu imetumiwa bila Ridhaa yake inatoka wapi? Kujiunga na Bima sio kama kuhifadhi akiba ili uje kuitumia ukihitaji, lah ni tofauti kabisa. Mnakusanya pamoja kidogo kidogo ili itemike kwa wenye wahitaji.
 
Kwa jinsi nionavyo mimi, ukishajiunga na Bima maana yake umetoa ridhaa haki kutumika kutibia wengine wenye uhitaji kwa wakati huu na wewe ukiwa na uhitaji utatumia za wengine. Ndio basic principal ya Bima ilivyo. Sasa hapo kusema kuwa haki ya mtu imetumiwa bila Ridhaa yake inatoka wapi? Kujiunga na Bima sio kama kuhifadhi akiba ili uje kuitumia ukihitaji, lah ni tofauti kabisa. Mnakusanya pamoja kidogo kidogo ili itemike kwa wenye wahitaji.
Kama ni hivyo iwachwe iwe hiyari ya mtu mia kwa mia.
 
Kama kawaida yake uislamu ni dini ya haki na isiyotoa mwanya wa ujanja,utapeli na unyonyaji.
Masheikh mbali mbali wameendelea kuweka wazi msimamo huo wa uislamu ambao umo kwenye Qur'an na suna za mtume Muhammad rehma na amani zimshukie.
Katika ufafanuzi huo,masheikh wamesema kama itatokea muislamu kulazimishwa na mifumo ya kiinchi kuchangia bima kwa lazima basi siku atakapoumwa na ikatibiwa kwa gharama zaidi ya zile anazochangia kwa mwaka basi ni wajibu kwake kuuliza hesabu hizo na tofauti ya juu aliyokuwa hakuchangia basi aitoe sadaka.
Muhimu kuliko yote asitibiwe kwa pesa walizochangia wengine.Atibiwe kwa pesa zake mwenyewe au zilizochangwa na ndugu na wahisanai wake.

View: https://www.youtube.com/watch?v=OjIHAm_536s

Hii dini yenu imekaa kinyume na mifumo ya kisasa ya kiuchumi
 
Hii dini yenu imekaa kinyume na mifumo ya kisasa ya kiuchumi
Hakuna mifumo ya kisasa inayofaa ya kiuchumi kuliko uchumi uliofundishwa na Uislamu.
Kumbuka kuwa hii dunia ya kisasa iliukuta uislamu ushamaliza kazi za kiuchumi na ndiko walikojifunza mabenki na mengineyo.
Si umeona mabenki ya kisasa yote yanayotaka faida za kweli imebidi yarudi kwa mfumo ulio bora wa benki za kiislamu.
 
Hakuna mifumo ya kisasa inayofaa ya kiuchumi kuliko uchumi uliofundishwa na Uislamu.
Kumbuka kuwa hii dunia ya kisasa iliukuta uislamu ushamaliza kazi za kiuchumi na ndiko walikojifunza mabenki na mengineyo.
Si umeona mabenki ya kisasa yote yanayotaka faida za kweli imebidi yarudi kwa mfumo ulio bora wa benki za kiislamu.
kwahiyo uchumi uliofundishwa na mtu asiyejua kusoma na kuandika ulishawahi kufanya kazi wapi? hata waarabu wana pesa kwasababu tu ya mafuta, wasingekuwa na mafuta wakafuata huu uchumbi wa illiterate wangekuwa masikini wa kutupa. matajiri wote wa kiislam wanakopa kwenye mabenki yasiyofuata hiyo dini, yet mtu anakuja hapa anasema uchumi wa huyo jamaa ni safi.
 
kwahiyo uchumi uliofundishwa na mtu asiyejua kusoma na kuandika ulishawahi kufanya kazi wapi? hata waarabu wana pesa kwasababu tu ya mafuta, wasingekuwa na mafuta wakafuata huu uchumbi wa illiterate wangekuwa masikini wa kutupa. matajiri wote wa kiislam wanakopa kwenye mabenki yasiyofuata hiyo dini, yet mtu anakuja hapa anasema uchumi wa huyo jamaa ni safi.
Ndio ni kweli uchumi uliofundishwa na asiyejua kusoma na kuandika umekuwa bora kwa vile yeye aliletwa na Allah mjuzi wa yote.
 
Ndio ni kweli uchumi uliofundishwa na asiyejua kusoma na kuandika umekuwa bora kwa vile yeye aliletwa na Allah mjuzi wa yote.
umekuwa bora kwa kuboresha kitu gani hapa duniani, taja hata kimoja tu. manake maendeleo yote unayaona ambayo hata waarabu wanayatumia, ni matunda ya uchumi wa kibepari, sio wa kiislam.
 
umekuwa bora kwa kuboresha kitu gani hapa duniani, taja hata kimoja tu. manake maendeleo yote unayaona ambayo hata waarabu wanayatumia, ni matunda ya uchumi wa kibepari, sio wa kiislam.
Si unaona watu wote siku hizi wanalalamika ugumu wa maisha kutokanana na hao wazungu wako kuingilia uchumi ambao hawana elimu nao.
Waarabu kufuata kwao huo uchumi wa kizungu ni kutokana na ushamba wao tu.Wangefuata uislamu wala wasingepata shida.
 
Si unaona watu wote siku hizi wanalalamika ugumu wa maisha kutokanana na hao wazungu wako kuingilia uchumi ambao hawana elimu nao.
Waarabu kufuata kwao huo uchumi wa kizungu ni kutokana na ushamba wao tu.Wangefuata uislamu wala wasingepata shida.
ni wapi mwanadamu alishawahi kufuata uchumi wa kiislam akafanikiwa? taja nchi hata moja tu. nchi za kiarabu usitaje kwasababu zote zinafuata uchumi wa wazungu na wanaishi kwa mafuta.

Mood hakuwa na akili yeyote kuuunda kitu, kuanzia uchumi hadi tabia.
 
ni wapi mwanadamu alishawahi kufuata uchumi wa kiislam akafanikiwa? taja nchi hata moja tu. nchi za kiarabu usitaje kwasababu zote zinafuata uchumi wa wazungu na wanaishi kwa mafuta.

Mood hakuwa na akili yeyote kuuunda kitu, kuanzia uchumi hadi tabia.
Nchi za kiarabu kwa ushamba wao miaka ya karibuni ndio wamefuata uchumi wa kizungu moja kwa moja na ndio zimeanza kuingia kwenye matatizo.Walipokuwa wanafuata uchumi wa karibu na uislamu waliishi maisha mazuri na kila mtu duniani alikuwa anakimbilia huko.
Walikuwa hawana mifumo ya uchumi wa VAT wala bima hizi za kinyonyaji.
Nitajie hata nchi moja inayofuata uchumi wa kizungu ambayo raia wake wana utulivu.Ni ombaomba tu mitaani na mauwaji kila kipembe cha nchi.
 
Back
Top Bottom