Sheikh Hassan Bin Ameir (1880 - 1979) na Waislam wa Burundi

Sheikh Hassan Bin Ameir (1880 - 1979) na Waislam wa Burundi

Mohamed Said, unafurahisha sana. BAKWATA inaungwa mkono na waislamu wa madhehebu yote, wassuni na washia, wasioiunga mkono ni kikundi kidogo cha waislamu wenye msimamo mkali wanaoitwa " Answar Sunna" . BAKWATA iko kila mkoa, kila wilaya inashughulikia matatizo yote ya waislamu , mirathi,ndoa, n.k
Laki...
Siwezi nikabishana na wewe kuhusu BAKWATA.

Kuna watu wawili tu nchi nzima ambao wametafiti historia ya BAKWATA nao ni Dr. Mayanja Kiwanuka (1973) na Mohamed Said (1989).

Unaweza ukawasoma wote wawili Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Dar es Salaam.

Wasome hawa kwanza uijue historia ya BAKWATA kisha In Shaa Allah rejea hapa ukiwa mjuzi wa unachojadili.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo la Hasan Ameir alikuwa anachanganya dini na siasa, na ndio waislam wengi wanavyofanya

Let me make it plain.

Dini ni siasa.

Dini ni siasa ya kale iliyovikwa joho la utakatifu wa Mungu asiyeweza kuthibitishika.

It's just identity politics.

Tafuta kitabu cha Francis Fukuyama kinaitwa "Identity: The Demand For Dignity And The Politics Of Resentment".

Especially chapter 7 "Nationalism amd Religion".

Kama hujakipata niambie nikutafutie na kukutumia.

Ukielewa hilo, utaelewa na kumaliza maliza migogoro mingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Francis Fukuyama "Identity: The Demand For Dignity And The Politics Of Resentment".
20200501_230631.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umefanya utafiti kabla ya kuandika hiki?
Idadi yenyewe ya Waislamu Burundi sidhani kama inaushawishi wowote, ni wachache sana hata sasa. Mkuu, unaweza siku 1 ukaleta historia ya mzee yeyote ambaye sio wa dini yako katika wale wapigania uhuru? Kwenye maktaba yako naona unao wa dini moja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazindu...
Unakereka kusoma historia ya Sheikh Hassan bin Ameir, Iddi Faiz Mafungo, Sheikh Suleiman Takadir, Bi. Tatu bint Mzee, Mshume Kiyate, Abdallah na Maulid Kivuruga, Abdillah Schneider Plantan, Thomas Saudtz Plantan, Ramadhani Mashado Plantan, Sheikh Yusuf Badi, Yusuf Chembera, Msham Awadh, Zarula bint Abdulrahman...

Mimi nilipoona kuwa hawa wazalendo hawamo kwenye historia y TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika sikuwatafuta wana historia Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wawaandike, nilinyanyua kalamu nikaandika historia zao.

Ikiwa wewe unao wapigania uhuru wa dini yako unaodhani mimi nimewafanyia khiyana kwa kutoandika historia zao basi nawe nyanyua kalamu.

Hapajatokea mwandishi hadi hivi sasa aliyeandika maisha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa usahihi na umakini kunishinda na Nyerere si Muislamu, kiasi nimeihamasisha Kigoda Cha Mwalimu Nyerere chini ya Mwenyekiti wake Prof. Issa Shivji kutafiti maisha ya Mwalimu na kuandika kitabu.

Naingia Maktaba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu limejitosheleza hili mzee wangu.

Kwelo utu uzima dawa.
 
Idadi yenyewe ya Waislamu Burundi sidhani kama inaushawishi wowote, ni wachache sana hata sasa. Mkuu, unaweza siku 1 ukaleta historia ya mzee yeyote ambaye sio wa dini yako katika wale wapigania uhuru? Kwenye maktaba yako naona unao wa dini moja tu
Waislam ndio waliogombania Uhuru kuwaondoa Wazungu katika Nchi za Afrika nyinyi chini ya jangwa la Sahara

Wakristo ilikuwa tabu na vigumu kwa wao kufanya hivyo kwa vile kwao wao Wazungu walikuwa karibu na Mungu,..

Picha ya Yesu mwenye macho ya bluu na nywele za njano ndio ilizowafanya waafrika waamini kuwa wazungu ni Waungu
 
Waislam ndio waliogombania Uhuru kuwaondoa Wazungu katika Nchi za Afrika nyinyi chini ya jangwa la Sahara

Wakristo ilikuwa tabu na vigumu kwa wao kufanya hivyo kwa vile kwao wao Wazungu walikuwa karibu na Mungu,..

Picha ya Yesu mwenye macho ya bluu na nywele za njano ndio ilizowafanya waafrika waamini kuwa wazungu ni Waungu
Too theoretical to believe
 
Back
Top Bottom