hio hoja ya kitajiri ndio hii ulioandika hapo juu au?umeleta sababu za kilofa sana...
Siyo cannon ni canon!Wewe fanya uoendavyo, upo huru, mimi huwa sikisii. Tafuta kwenye mtandao tu, maana ya ndno cannon laws utapata jibu.
Kisha lilete hapa utusaidie na sisi kuelewa.
Daa! maneno makali sanaTeh teh teh.
Wagalatia viumbe wa ajabu sana.
Mahakama ya Qadhi inatuhusu sisi waislamu na haitowagusa nyie waabudu sanamu kwa namna yyt.
Mahakama hii inahusu masuala ya Ndoa na sheria za MIRATHI za waislamu inahusu masuala ya FAMILIA ZA KIISLAMU TU PEKE YAO . We kwa akili yako ilivyo ndogo ulidhani mahakama ya Qadhi itakuja kuwatairi wote wenye magovi KWA NGUVU. 🤣
Na wewe kutairiwa hutaki .
Kuwa na amani.
Pilipili ziko shamba la muislamu we muefeso kalio linaanza kuwasha.
Ajeeb kabisa.
Huyu Sheikh muda huu anapamba na wale 72.Wanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.
Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:
KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said
Unaweza kusikiliza kipindi cha radio nilichofanya kuhusu Sheikh Ilunga hapo chini:
Mohamed Said: RADIO KHERI DAR ES SALAAM NA RADIO QUIBLATEIN IRINGA: KUMBUKUMBU YA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU
Mwanamme kupenda bikra ni kawaida.Huyu Sheikh muda huu anapamba na wale 72.
Mkuukweli binadamu tunafikra tofauti hiv ILUNGA nae, alikuwa wa kuenziwa kwa beti zote hizo zote!??
mimi nilimchukulia kama MUUAJI, GAIDI na mwenye kuharibu umoja wa watanzania hasa kwa mafundisho yake ya kuwaasa waislamu kuuwa wakristo ilhali tu jamii moja na tumeingiliana kwakuoleana!..
nahitimisha kwakusema lLUNGA alikuwa ni binadamu/kiongozi wa dini hatari kupata kumshuhudia katika ardhi ya Tz.
HATA HIVYO NAMUOMBA MUNGU BABA AMSAMEHE MATENDO YAKE YA CHUKI KWA WAKRISTO.
Wacha kusema uongo kwa mtu ambae hayuko hapa kujiteteaMkuu
Kufa ni once na baada ua hapo ni hukumu.
Sala zetu haziwezi kumsaidia mfu aliyeamua kuishi nje ya matakwa ya Mungu
Sheikh Ilunga alikuwa ni kielelezo cha ugaidi hatari kwa sababu alisimama kidete kushawishi waislam wawaue wakristo
Jahannam ingekuwa chini ya makafiri hakuna muislamu angepona.Anaendelea kuwa Kuni huko jehanamu na mashetani wenzake
Tatizo Lenu mnaojifanya mnaweza Sana mtiti kumbe wenzenu wanaweza zaidi ila ni wavumilivu tuu. Nenda kule central Africa baada ya kuleta chokochoko jibu mlilolipata kwa antbalakaJahannam ingekuwa chini ya makafiri hakuna muislamu angepona.
Mnamtukana asiekuwepo Duniani mkijua hawezi kujieleza.
Tukana waliopo uone kwanini mnavaa misalaba.
Keyboard heroes mnajificha nyuma ya Techno.
Njoo utukane mbele ya muislamu uone namna gani mtu anaweza kuhara brbrni.
Paka shume.
Sasa nyie mnaoweza mikiki na mnachuki na waislamu kwanini msije kututukana uso kwa uso?Tatizo Lenu mnaojifanya mnaweza Sana mtiti kumbe wenzenu wanaweza zaidi ila ni wavumilivu tuu. Nenda kule central Africa baada ya kuleta chokochoko jibu mlilolipata kwa antbalaka
Ushahidi mzuri ni contents za wewe mfuasi wake.Wacha kusema uongo kwa mtu ambae hayuko hapa kujitetea
Makafiri chuki zenu mpk kwa wafu.
Leta Ushahidi hapa kuwa Maalim Ilunga alisema waislamu waue wakristo.
Nyie chuki zenu zinawasababisha mpk akili zinaruka matokea yake mnauziwa maji ya azam na michanga ya mtoni mkidanganywa ni ya uzima wa milele .
LETA USHAHIDI HAPA.
Na ukikosa ULAANIWE MPK SIKU UTAKAYOTUBU.
Laanatullah wahedi.
Sasa hivi huyo bwana funza ndio wanafaidi tuu wanajilia minofu hakuna Cha mahurulaini Wala pombe.Sasa nyie mnaoweza mikiki na mnachuki na waislamu kwanini msije kututukana uso kwa uso?
Mnajua tulipo.
Miskiti inajaa watu mpk tunafunga brbr kila ijumaa.
Njooni mmejipanga mtoe dukuduku USO KWA USO kisha muone nani kuku.
Ilunga aliitisha mkutano Hadharani Na akasema UOVU WENU WOTE. Mbona hakuna kafiri aliyethubutu kuja kusema lolote?
Mnasubiri mtu afe ndio mnaongea?
Mnajua waislamu ni watu wa aina gani. Sisi sio waimba kwaya .
Teh teh tehUshahidi mzuri ni contents za wewe mfuasi wake.
Huu uzi huko juu nimeweka ushahidi hadi video.
Mimi siyo kafiri. Mimi ni mwanafunzi wa Yesu
Sasa tatizo liko wapi?Sasa hivi huyo bwana funza ndio wanafaidi tuu wanajilia minofu hakuna Cha mahurulaini Wala pombe.
Tena Mungu alivyo fundi alianzs kumuonyesha ukuu wake akiwa hai funza walianza kuutafuna miguu wake akiwa hai. Angekuwa na akili baada ya kuona dalili hizo angetoka hadhatani na kutubu madhambi yake na Mungu wa msamaa angemsamehe na sio yule analikuwa anahubiribkuwa ana kisasi( Kutiba kum il kisasa ) ambaye Hana nguvu yoyote Bali hupiganiwa na wanadamu
Mimi sijawahi wala kufikiria kupiga goti mbele ya sanamu kujiaminisha kuwa ndiye kiwakilishi changu na Mungu.Teh teh teh
Unafahamu maana ya kafiri.
Wengi wenu mnadhani kafiri ni tusi.
Kafiri ni sifa ya yyt anaebudu Sanamu.
Hakuna ushahidi wwt umeweka hapa unao onyesha kuwa Maalim Ilunga katamka kuwa waislamu waue wakristo.
Km upo weka hapa tuone.
Acha kuendelea kufanya ile ibada yenu ya UONGO manake kafiri kusema uongo ni ibada kubwa.
Nije nimtafute nini eneo mnsposali sehemumoja na majini? Unatarajia maombi hayo yanatenda kwa nani kama sio kwa mkuu wa majini?Sasa tatizo liko wapi?
We njoo msikitini useme haya maneno tukupe darsa .
Tunakuahidi hatutokufanya kitu kibaya.
We njoo na ushahidi wako kwenye msikiti wwt uonane na imam kisha useme una ushahidi kuwa kuna Muislamu alisema makafiri wauwe.
Khalas.
Ugomvi hamna.
Sasa sema utakuja msikiti upi ili na mimi niwepo?
Acha uoga km pashkuna.
Njoo kwa raha zako.
Ule ilikuwa uchochezi mkuu haukufikia kuwa ugaidi.Mkuu
Kufa ni once na baada ua hapo ni hukumu.
Sala zetu haziwezi kumsaidia mfu aliyeamua kuishi nje ya matakwa ya Mungu
Sheikh Ilunga alikuwa ni kielelezo cha ugaidi hatari kwa sababu alisimama kidete kushawishi waislam wawaue wakristo
Kama huamini yesu ni Mungu wewe sio mkristoMimi sijawahi wala kufikiria kupiga goti mbele ya sanamu kujiaminisha kuwa ndiye kiwakilishi changu na Mungu.
Hata huo msalaba siupigii goti. Namwabudu Mungu aliye Hai. Hivyo usinifananishe na wafia dini wenzako wanaovaa misalaba wakiamini ndo ukristo.
Mohammed Said nilishamjibu huko juu na ushahidi upo
Ok miskitini kuna majini. Wala usije ukakamatwa na majini burr.Nije nimtafute nini eneo mnsposali sehemumoja na majini? Unatarajia maombi hayo yanatenda kwa nani kama sio kwa mkuu wa majini?