Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Kama huamini yesu ni Mungu wewe sio mkristo
Soma biblia uelewe.
Mkristo yyt lzm aabudu binaadamu aitwae Yesu.
Binaadamu ambae alizaliwa.
Akala akaenda choo km mimi na wewe.
kinyume cha hapo wewe sio mkristo
Yesu Kristo ni Mungu. Ni Neno la Munhu pia akapata mwili akakaa kwetu kwa hekima ya Mungu ambayo si wewe wala.mimi wala awaye yeyote anaweza kuifikia....
 
Sasa tatizo liko wapi?
We njoo msikitini useme haya maneno tukupe darsa .
Tunakuahidi hatutokufanya kitu kibaya.
We njoo na ushahidi wako kwenye msikiti wwt uonane na imam kisha useme una ushahidi kuwa kuna Muislamu alisema makafiri wauwe.
Khalas.
Ugomvi hamna.

Sasa sema utakuja msikiti upi ili na mimi niwepo?
Acha uoga km pashkuna.
Njoo kwa raha zako.
Duu! kuna usalama kweli?
 
Sasa tatizo liko wapi?
We njoo msikitini useme haya maneno tukupe darsa .
Tunakuahidi hatutokufanya kitu kibaya.
We njoo na ushahidi wako kwenye msikiti wwt uonane na imam kisha useme una ushahidi kuwa kuna Muislamu alisema makafiri wauwe.
Khalas.
Ugomvi hamna.

Sasa sema utakuja msikiti upi ili na mimi niwepo?
Acha uoga km pashkuna.
Njoo kwa raha zako.
Huu ndo uislam na wewe ndo muislam
 
Mtaka nyingi nasaba, hupata mwingi msiba
Muenda nyingi lakaba, hupata nyingi ghiliba
Muoga nyingi janaba, hupata kwingi kuvimba
Kuiza wengi madada, usambe hivi ujinga

Safiri ndugu safiri, upate na kutalii
Safiri japo kafiri, sibaki kuwa chalii
Safiri sawa tahiri, uondoe ujahili
Safiri upate dili, ondoa zako bahili

Utukutu wa mawazo, na kauli za utovu
Kujitia hamnazo, na shabikia uovu
Ama ni hali pumbazo, chafuzi kama utomvu
Nakuwekea mkazo, utosi acha uchovu

Wahenga waliokwenda, umoja walitambua
Binadamu anapenda, mafao yanochanua
Vipi watuweka kenda, kumi tusije chukua?
Wovu kutoa udenda, kwa kukosako kujua?

Karaha kwa waungwana, sio jambo la johari
Balaa la kutukana, hutunzi kwenye bohari
Bora hata kujikana, baharia wa bahari
Mie kwangu kote sana, katika hii sayari

Mzungu anajifia, dunia yaendelea
Wewe unamuhofia, kama kwelea kwelea
Gurudumu kikwachia, utaweza kuelea?
Acha dhana za ghasia, weka zaidi welewa

Kaditama nishafika, malenga wataelewa
Unyonge wa muafrika, kutaka sana chelewa
Nautoa kwa hakika, kwa kujitia behewa
Na hivi hii dakika, naua vyako melea
Ulitisha sana
 
Kumbe ni 2014? Ni kama juzi tu , nakumbuka kichangani but I arrived late
 
Yesu Kristo ni Mungu. Ni Neno la Munhu pia akapata mwili akakaa kwetu kwa hekima ya Mungu ambayo si wewe wala.mimi wala awaye yeyote anaweza kuifikia....
Wewe ndio unasema haya lkn Sio Andiko na kamwe Dio Yese mwenyewe.

BIBLIA INASEMA MUNGU SIO BINAADAMU.

Mungu sio mwanadamu’ (Hesabu 23:19)

Kwa maana mimi ni Mungu, wala sio mwanadamu’ (Hosea 11:9)

Yesu ni mwanadamu
mwanadamu Yesu Kristo ’ (Tim. 2:5)
ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu’ (Mathayo 12:40)

‘Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja’ (Mathayo 16:27)

‘mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.’ (Mathayo 28)

Biblia inasema kwamba Yesu alikana yeye ni Mungu
Yesu alizungumza na mtu aliyemuita ‘mwema,’ na kumuuliza, ‘Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu pekee yake.’ (Luka 18:19)

Naye akamwambia, ‘Kwa nini unaniuliza kuhusu lililo jema? Kuna Mmoja tu aliye mwema; bali kama ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.’ (Mathayo 19:17)

Yesu hakuwafundisha watu kwamba yeye ni Mungu
Ikiwa Yesu alikuwa akiwaambia watu kwamba yeye ni Mungu, angali mpongeza mtu huyo. Badala yake, Yesu alimkemea, akakana kuwa yeye ni mwema, yaani, Yesu alikana kuwa yeye ni Mungu.

Biblia inasema kwamba Mungu ni mkuu kuliko Yesu
‘Baba yangu ni mkuu kuliko mimi’ (Yohana 14:28)

‘Baba yangu ni mkuu kuliko wote.’ (Yohana 10:29)

Yesu hawezi kuwa Mungu ikiwa Mungu ni mkuu kuliko yeye. Imani ya Kikristo kwamba Baba na mwana wako sawa ni kinyume kabisa na maneno yaliyo wazi kutoka kwa Yesu.

Kamwe Yesu hakuwaagiza wanafunzi wake wamuabudu
‘Mnaposali, semeni Baba Yetu uliye mbinguni.’ (Luka 11:2)

‘Siku hiyo hamtaniomba lolote. Mkiomba lolote kwa jina la Baba.’ (Yohana 16:23)

‘Saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo wanao abudu ukweli watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba anawatafuta watu kama hao wamuabudu.’ (Yohana 4:23

YESU SIO MUNGU bali ni MTUME ALIYEKUJA Kwa ajili ya wana wa ISRAELI.
 
Kama unayajua hayo! Na kuwa WAISLAMU NDIO WATOA AJIRA WA WAKRISTO WENGI HAPO NCHINI!

Mbona wewe na wagalatia wenzako mnakosa adabu ya kuwaheshimu watu wanaowapatia waenda kanisani na familia zao choo!??

Hao matajiri ndio wanaoipatisha serikali yako Mapato makubwa ya kodi!

Ni hao hao waliajiri wazee wenu
( km unamjua lkn) na nyie mkanunuliwa hizo desktop zilizotumika!
Badala ya kuwashukuru, unawakashifu na kuwaombea balaa!

Sasa siku wakiamua kuhama nchi! Wewe na wazee wako si mtarudi ukerewe kwa miguu!?

Kuwa na adabu we mtoto!
Na uwaambie hawa wachaga kina 2013 Remote Matola Nicholas kuwa WAISLAMU ndio wanao endesha nchii hii! Japo bado yale masalia ya MFUMOKRISTO yamo maofisi ya seriakali!

Lkn na huko tunakwenda! Tumeanza kusafisha wizara baada ya wizara!
Kama jinga[emoji1787]
 
Hivi huyu si yule mtu aliyekuwa akishawishi Waislamu waue Wakristo na anapewa sifa hizi? Huyu hakuwa Muislam wa kweli kwa sababu Uislam ni dini ya amani. Nawashangaa sana watu wanaomshabikia na hata kifo chake ni fimbo ya Allah kwake kumwonyesha wale uliokuwa ukielekeza wakauawe wamebaki wanamtumikia Mungu na yeye shehe wa kuchochea kuua akatangulia kufa na ataikoma jehanamu ya moto!!!!

hata hao wakristo hakuna anayegeuza shavu
 
Wanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.

Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:



KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said

Unaweza kusikiliza kipindi cha radio nilichofanya kuhusu Sheikh Ilunga hapo chini:
Mohamed Said: RADIO KHERI DAR ES SALAAM NA RADIO QUIBLATEIN IRINGA: KUMBUKUMBU YA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU
Huyu Sheikh ni Shetani wa miguu 50,hata huko kuzimu alipokwenda hawamtaki sijui atakwenda wapi.
 
Usipate shida mkuu, msemo wa mfumokristo ni uzushi wa kijinga tu. Ni harakati ya watu wanaojitafutia ajira na kipato kupitia dini bila kujali madhara wanayosababisha kwa kuzua itikadi za kubuni ili kuwafariji wafuasi wao kutokana na dhiki ya maisha.
Mfumo Kristo mbaya sana.
1.Rais wa JMT mgalatia
2.Jaji Mkuu mgalatia
3.Waziri Mkuu Mgalatia
4.Rais wa Zanzibar Mgalatia
5.Mkuu wa TISS Mgalatia
6.Mwenyekiti wa CCM Mgalatia
7.Makamu Mwenyekiti Mgalatia

Wazushi,Wahuni,Wapumbavu,Wajinga & Wapuuzi wote wanaoshabikia nadharia za mfumo Kristo wakati huu wametulia wanasubiri zamu ya Swala tano zipite waanze kubwabwaja.
 
Shukran Mzee wetu Mohammed Bin Saeed kwa tanzia hii, Allah akulipe!

Hakika jiji la darussalaam ni jiji la waislamu, huwa nikifika Darussalaam yaa sheikhuna, Zanzibar na pwani kwa ujumla najihisi kama nipo Islamic countries, nnakua na amani maashallah! niliwahi kwenda lushoto kule napishana na waislamu wengine wamevaa kanzu na vilemba/kofia, wasio waislamu ni wachache sana kule.


I'm so proud to be a Muslim, al hamdu liLlah
 
Nimependa sikiliza hotuba zake huyo bwana ni mtu tapeli na muongo kama mzee mmoja humu
 
Back
Top Bottom