Yesu Kristo ni Mungu. Ni Neno la Munhu pia akapata mwili akakaa kwetu kwa hekima ya Mungu ambayo si wewe wala.mimi wala awaye yeyote anaweza kuifikia....Kama huamini yesu ni Mungu wewe sio mkristo
Soma biblia uelewe.
Mkristo yyt lzm aabudu binaadamu aitwae Yesu.
Binaadamu ambae alizaliwa.
Akala akaenda choo km mimi na wewe.
kinyume cha hapo wewe sio mkristo
Duu! kuna usalama kweli?Sasa tatizo liko wapi?
We njoo msikitini useme haya maneno tukupe darsa .
Tunakuahidi hatutokufanya kitu kibaya.
We njoo na ushahidi wako kwenye msikiti wwt uonane na imam kisha useme una ushahidi kuwa kuna Muislamu alisema makafiri wauwe.
Khalas.
Ugomvi hamna.
Sasa sema utakuja msikiti upi ili na mimi niwepo?
Acha uoga km pashkuna.
Njoo kwa raha zako.
Huu ndo uislam na wewe ndo muislamSasa tatizo liko wapi?
We njoo msikitini useme haya maneno tukupe darsa .
Tunakuahidi hatutokufanya kitu kibaya.
We njoo na ushahidi wako kwenye msikiti wwt uonane na imam kisha useme una ushahidi kuwa kuna Muislamu alisema makafiri wauwe.
Khalas.
Ugomvi hamna.
Sasa sema utakuja msikiti upi ili na mimi niwepo?
Acha uoga km pashkuna.
Njoo kwa raha zako.
Ulitisha sanaMtaka nyingi nasaba, hupata mwingi msiba
Muenda nyingi lakaba, hupata nyingi ghiliba
Muoga nyingi janaba, hupata kwingi kuvimba
Kuiza wengi madada, usambe hivi ujinga
Safiri ndugu safiri, upate na kutalii
Safiri japo kafiri, sibaki kuwa chalii
Safiri sawa tahiri, uondoe ujahili
Safiri upate dili, ondoa zako bahili
Utukutu wa mawazo, na kauli za utovu
Kujitia hamnazo, na shabikia uovu
Ama ni hali pumbazo, chafuzi kama utomvu
Nakuwekea mkazo, utosi acha uchovu
Wahenga waliokwenda, umoja walitambua
Binadamu anapenda, mafao yanochanua
Vipi watuweka kenda, kumi tusije chukua?
Wovu kutoa udenda, kwa kukosako kujua?
Karaha kwa waungwana, sio jambo la johari
Balaa la kutukana, hutunzi kwenye bohari
Bora hata kujikana, baharia wa bahari
Mie kwangu kote sana, katika hii sayari
Mzungu anajifia, dunia yaendelea
Wewe unamuhofia, kama kwelea kwelea
Gurudumu kikwachia, utaweza kuelea?
Acha dhana za ghasia, weka zaidi welewa
Kaditama nishafika, malenga wataelewa
Unyonge wa muafrika, kutaka sana chelewa
Nautoa kwa hakika, kwa kujitia behewa
Na hivi hii dakika, naua vyako melea
Wewe ndio unasema haya lkn Sio Andiko na kamwe Dio Yese mwenyewe.Yesu Kristo ni Mungu. Ni Neno la Munhu pia akapata mwili akakaa kwetu kwa hekima ya Mungu ambayo si wewe wala.mimi wala awaye yeyote anaweza kuifikia....
Kama jinga[emoji1787]Kama unayajua hayo! Na kuwa WAISLAMU NDIO WATOA AJIRA WA WAKRISTO WENGI HAPO NCHINI!
Mbona wewe na wagalatia wenzako mnakosa adabu ya kuwaheshimu watu wanaowapatia waenda kanisani na familia zao choo!??
Hao matajiri ndio wanaoipatisha serikali yako Mapato makubwa ya kodi!
Ni hao hao waliajiri wazee wenu
( km unamjua lkn) na nyie mkanunuliwa hizo desktop zilizotumika!
Badala ya kuwashukuru, unawakashifu na kuwaombea balaa!
Sasa siku wakiamua kuhama nchi! Wewe na wazee wako si mtarudi ukerewe kwa miguu!?
Kuwa na adabu we mtoto!
Na uwaambie hawa wachaga kina 2013 Remote Matola Nicholas kuwa WAISLAMU ndio wanao endesha nchii hii! Japo bado yale masalia ya MFUMOKRISTO yamo maofisi ya seriakali!
Lkn na huko tunakwenda! Tumeanza kusafisha wizara baada ya wizara!
We binti huu uzi ni wa mwaka 2014 .Kama jinga[emoji1787]
Hivi huyu si yule mtu aliyekuwa akishawishi Waislamu waue Wakristo na anapewa sifa hizi? Huyu hakuwa Muislam wa kweli kwa sababu Uislam ni dini ya amani. Nawashangaa sana watu wanaomshabikia na hata kifo chake ni fimbo ya Allah kwake kumwonyesha wale uliokuwa ukielekeza wakauawe wamebaki wanamtumikia Mungu na yeye shehe wa kuchochea kuua akatangulia kufa na ataikoma jehanamu ya moto!!!!
Huyu Sheikh ni Shetani wa miguu 50,hata huko kuzimu alipokwenda hawamtaki sijui atakwenda wapi.Wanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.
Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:
KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said
Unaweza kusikiliza kipindi cha radio nilichofanya kuhusu Sheikh Ilunga hapo chini:
Mohamed Said: RADIO KHERI DAR ES SALAAM NA RADIO QUIBLATEIN IRINGA: KUMBUKUMBU YA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU
Mfumo Kristo mbaya sana.Usipate shida mkuu, msemo wa mfumokristo ni uzushi wa kijinga tu. Ni harakati ya watu wanaojitafutia ajira na kipato kupitia dini bila kujali madhara wanayosababisha kwa kuzua itikadi za kubuni ili kuwafariji wafuasi wao kutokana na dhiki ya maisha.
Ataenda hukohuko alikoendaHuyu Sheikh ni Shetani wa miguu 50,hata huko kuzimu alipokwenda hawamtaki sijui atakwenda wapi.
Ni kweli Allah anapenda watu kupokonya haki za kuishi !. Allah ni mungu wa ajabu kweli kweli.Ataenda hukohuko alikoenda
Allah ndio anajua pakumuhifadhi
Litumwa likubwa la kifikraWe binti huu uzi ni wa mwaka 2014 .
Nadhani wakati umeanza we ulikuwa hujavunja ungo.
Jifunze kujadili na wazee wako