Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

Wewe ni mufti wa wapi? Kwa hiyo na wewe unaamini huu upuuzi?
 
Kwenye uislamu tunaamini misikiti yote ni ya Allah.

As long as unaswaliwa na waislamu hayo mengine hayana haja ya kujua.
Hapana Dr ule msikiti kajenga JK Magu kalazimisha.Walah hata hii funga iwe bureeee.

Alisikika Sheikh ubwabwa mvaa makubazi mpaka ina ndevu akibwabwa huku mijimate ikimtoka bila utaratibu.
 
Wakirudi nishtue...
 
A Akiogopa
 
Hapa naona kabisa ........kuna kiumbe anakaza fuvu na makalio kwenye kubisha jpm hajaujenga ule msikiti........au alitaka auze kahawa yeye pale msikitini?
 
Hapa naona kabisa ........kuna kiumbe anakaza fuvu na makalio kwenye kubisha jpm hajaujenga ule msikiti........au alitaka auze kahawa yeye pale msikitini?
Makonda atoke kwenye hadhara ampinge Sheikh. Ukiona mpaka yupo kimya ujue msikitini kaomba Kikwete
 
Dunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane...
Sasa hapo mnajichanganya, alipokuja huyo Mfalme wa Morocco,wengi tulimsikia Magufuli akiomba tujengewe msikiti na kiwanja cha mpira Dodoma.

Sasa mbona kwenye majibu ya huyo Mfalme kwenye suala la msikiti hakusema alishaambiwa na Kikwete na analijua!

Lakini la ajabu ni kweli kwa wingi wa matajiri wa kiislamu nchi hii walikuwa na sababu ya kuomba kujengewa msikiti?
 
Tushauri uongozi wa Bakwata ufunge mjadala huu ili tuendelee na mambo mengine.
 

Msikiti wenyewe thamani yake ni milioni 300. Ila mpaka waombe eti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…