Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

Kikwete ndie Rais pekee katika historia ya nchi hii.alietuachia DARAJA la malipo.
Mtanzania ili uende au kutoka Bagamoyo kupitia njia ya Mji mwema!
Lazima ulipie kupita lile daraja la kifisadi la Kikwete!
Over!
Daraja linaitwaje hilo
 
MAGUFULI HAHITAJI KICK YA MSIKITI!
Mwamba "JPM!"
John Pombe Magufuli... ameondoka Dunia na hatarudi kamwe.Hii ni kanuni ya ki-maumbile ya Ki-dunia,kulingana na mafundidho ya vitabu vitakatifu vya Mungu kwamba kila nafsi itapitia hatua hiyo kwa muda wake utakapiwadia.

Mimi ninachofurahia ni jinsi Magufuli alivyoacha "Landmarks" lukuki ambazo zinawatesa hawa wapigaji wa kisasa wa kisiasa!

Hawawezi kumfuta Magufuli kirahisi ilhali kaacha Landmark kila kona ya nchi

Nitaziorodhesha hapa na muelewe sababu ya Magufuli kutofutika kirahisi Hapa nchini.

IKULU ya Chamwino-Dodoma.
BWAWA LA UMEME la Nyerere.
UKUTA wa Mererani-Manyara.
DARAJA la Tanzanite-Dar es Salaam.
FLYOVERS ya Mfugale -Dar es Salaam.
STENDI YA MAGUFULI-Dar es Salaam.
BARABARA NJIA SITA-Ubungo mpaka mbezi na kuendelea mlandizi.Dar es Salaam.
STENDI KUU -Morogoro.
SOKO KUU-Mwanza.
STENDI KUU-Nyegezi,Mwanza.
STENDI KUU-Nyamhongolo Mwanza.
UWANJA WA NDEGE-Chato.
DARAJA LA WAMI- TANGA.
BOMBA LA MAFUTA -Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
RELI YA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza.

Hizi ni Landmarks na sio vitu vinavyohamishika.ndio maana sijataja Meli wala Ndege.
Kuna pia Zahanati zaidi ya 478 pamoja na hospitali za Wilaya,Rufaa pamoja na za kanda kama Hospitali ya Rufaa Chato.
Kiongozi kama huyu huwezi futa legacy yake kwa kutumia keyboard.

Halafu watu fulani wenye kushiriki uovu kupigana na Legacy ya JPM huku wakitaka kuzitumia hizo Landmarks za JPM kwenye uchaguzi ujao wa 2025.Ushahidi uko wazi.

Watuambie kwanza hizo awamu zingine ukiondoa ya Baba wa Taifa JK Nyerere(R.I.P),na pia Benjamin Mkapa(R.I.P).

Hao wengine watuambie legacy zao walizotuachia zaidi ya Ufisadi,Majungu na Kupigana na Makaburi.
Na kama taifa!
Ni nini na zinatusaidiaje kwa sasa kama zipo?
Mkuu unamaanisha Rais wa kikristo pekee ndio waliofanya la maana nchi hii???

Kwamba Rais wa kikristo ndio walio weka legacy isiyohamishika pekee???

Kwamba Rais Wakristo ndio wenye legacy ya kustahili kukumbukwa???

Kwamba, kwa kuwa Rais Mwinyi na Jakaya ni waislamu hawakufanya chochote cha kuhamishika, kuonekana na kukumbukwa???

Kwamba, kwa kuwa Rais aliyepo ni muislamu hata fanya lolote la maana???

Ndugu Voicer umemaanisha nini haswa???

Tuambie mkuu!
 
Kikwete ndie Rais pekee katika historia ya nchi hii.alietuachia DARAJA la malipo.
Mtanzania ili uende au kutoka Bagamoyo kupitia njia ya Mji mwema!
Lazima ulipie kupita lile daraja la kifisadi la Kikwete!
Over!
💩
 
Kikwete ndie Rais pekee katika historia ya nchi hii.alietuachia DARAJA la malipo.
Mtanzania ili uende au kutoka Bagamoyo kupitia njia ya Mji mwema!
Lazima ulipie kupita lile daraja la kifisadi la Kikwete!
Over!
Mkuu ni nini alichofanya Mwendazake ambacho ni cha bure??? Yaani bila kulipia kabisa!!!
 
Ila kama kuna binadamu anaishi kwa mateso hii dunia ni kikwete, seems like he has always something to prove, I mean, huyu jamaa amekuwa raisi kwa miaka 10 lkn bado anaona kama kuna pengo kwenye maisha yake, kuna watu wanahitaji therapist kwa maana unashindana hata mtu aliyekwisha kufa na hata rudi tena? Duh …
Mkuu kwani Jakaya ndio kaongea hayo, unachanganya habari. Shekhe aongee yeye umlaumu Jakaya!! Ama kweli chuki ni mbaya!
 
View attachment 2945052
Wakuu,

Mwenzenu naona aibu sana. Jinsi Magufuli alivyokuwa akijitapa mara atembelee Msikiti huku kavaa Kanzu, Mara amtume Makonda, mara aipige biti. Nimeona aibu sana kwa jinsi alivyokuwa akijitapa.

Kuna siku alisema eti, Mfalme wa 6 wa Morocco alipokuakuja nikamuomba Msikiti. "Akashangaa ananiangalia machoni", nikamuuliza nini? Akasema nimeshangaa Mkristo unaomba Msikiti.

Sasa BAKWATA Wamevunja ukimya na kuweka Kumbukumbu sawa.

Wamesema aloomba Msikiti ni Jakaya Kikwete. Magufuli alikuwa anafanya siasa tu.
View attachment 2945053
Sasa kwanini Hayati Magufuli atafute kiki kwa Msikiti badala ya Makanisa?

Mimi niliikuwa nashangaa. Mafuli awe na moyo wa kuomba Msikiti halafu Watu kila siku watekwee na kupotea?

Asante sana BAKWATA. Sasa nimeanza kuwqamini.

TAKBIR.
Na ile video ya mkutano wa Ikulu kati ya JPM na Mfalme wa Morroco JPM akiomba kujengewa msikiti mkubwa na Mfalme akakubali nayo unaizungumziaje!? Kwanini mnakuwa na chuki kwa Wakristo wema kiasi hicho? Shida ni Ukristo wake au mmekubali kutumiwa na wanasiasa kuchafua sifa njema za marehemu? Mtashindana naye sana lakini hata nusu ya mvuto aliokuwa nao JPM kwa wananchi hamtaifikia. Hilo la msikiti liko wqzi kabisa na kumbukumbu zipo lakini mmeamua kulipindisha! Vipi kwa mengine ambayo hayaonekani kwa macho!? Sasa naanza kuamini kuwa Bakwata ni tawi la MCC
 
Huo ni unafiki kwanini hakusema wakati magufuli yupo hatuwezi kusikiliza maneno ya upande mmoja tu kama kwenye kanga angesema na Magufuli yupo ili tusikie naye atasemaje hapo mzee umefeli pakubwa sanaaaaaaaaaa
Waislam mtaacha lini chuki dhidi ya wakristo?papa alipokuja Tz mliomba vipaza sauti. Vilipoletwa mlipokea kisha mkasema mmenunua.
 
Mm nadhani tuendelee na juhudi ya kufuta yote mema yaliyoasisiwa na JPM maana ndio mkakati mkuu.
Mema Gani??
Huyu Dikteta aliwaharibu sana KIFIKRA na itachukua muda kuwarudisha kwenye akili zenu. Tatizo 90% ya Watanzania ni wajinga na walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli
 
Mema Gani??
Huyu Dikteta aliwaharibu sana KIFIKRA na itachukua muda kuwarudisha kwenye akili zenu. Tatizo 90% ya Watanzania ni wajinga na walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli
Wewe ni miongoni mwa wale vipofu msioona jema lolote la Magufuli.
 
Nitajie mema matatu tu halafu nikujibu
Ajabu sana, wewe ni chawa wa hovyo kabisa.

Eti "mema matatu tu"

Nyie wapuuzi ndio mnaamini mpaka taarifa za uongo ilimradi mumseme vibaya Magufuli, ajabu mnaendelea kuamini huo uongo hata pale teknolojia inapowaumbua, mko cheap sana!.
 
magufuli hajaomba msikiti huo tu,mpk dodoma aliwaomba musijaze chuki na hata angekuwa hataki kujengwa usingejengwa.
 
Ajabu sana, wewe ni chawa wa hovyo kabisa.

Eti "mema matatu tu"

Nyie wapuuzi ndio mnaamini mpaka taarifa za uongo ilimradi mumseme vibaya Magufuli, ajabu mnaendelea kuamini huo uongo hata pale teknolojia inapowaumbua, mko cheap sana!.
Acha mbambamba yaseme kama yapo!! Mlijazwa ujinga na propaganda akiwa hai na bado hamjashituka.

Waislamu wamekataa kuhusu Magufuli kuwa na mchango kwenye msikiti wao, wewe unaona wanamchafua.

Yaani BRAINWASH aliyowapiga nyie ni ya hatari sana. Sijui aliondoka na akili zenu akaaacha kama MISUKULE??
 
Back
Top Bottom