ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Daraja linaitwaje hiloKikwete ndie Rais pekee katika historia ya nchi hii.alietuachia DARAJA la malipo.
Mtanzania ili uende au kutoka Bagamoyo kupitia njia ya Mji mwema!
Lazima ulipie kupita lile daraja la kifisadi la Kikwete!
Over!
Mkuu unamaanisha Rais wa kikristo pekee ndio waliofanya la maana nchi hii???MAGUFULI HAHITAJI KICK YA MSIKITI!
Mwamba "JPM!"
John Pombe Magufuli... ameondoka Dunia na hatarudi kamwe.Hii ni kanuni ya ki-maumbile ya Ki-dunia,kulingana na mafundidho ya vitabu vitakatifu vya Mungu kwamba kila nafsi itapitia hatua hiyo kwa muda wake utakapiwadia.
Mimi ninachofurahia ni jinsi Magufuli alivyoacha "Landmarks" lukuki ambazo zinawatesa hawa wapigaji wa kisasa wa kisiasa!
Hawawezi kumfuta Magufuli kirahisi ilhali kaacha Landmark kila kona ya nchi
Nitaziorodhesha hapa na muelewe sababu ya Magufuli kutofutika kirahisi Hapa nchini.
IKULU ya Chamwino-Dodoma.
BWAWA LA UMEME la Nyerere.
UKUTA wa Mererani-Manyara.
DARAJA la Tanzanite-Dar es Salaam.
FLYOVERS ya Mfugale -Dar es Salaam.
STENDI YA MAGUFULI-Dar es Salaam.
BARABARA NJIA SITA-Ubungo mpaka mbezi na kuendelea mlandizi.Dar es Salaam.
STENDI KUU -Morogoro.
SOKO KUU-Mwanza.
STENDI KUU-Nyegezi,Mwanza.
STENDI KUU-Nyamhongolo Mwanza.
UWANJA WA NDEGE-Chato.
DARAJA LA WAMI- TANGA.
BOMBA LA MAFUTA -Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
RELI YA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza.
Hizi ni Landmarks na sio vitu vinavyohamishika.ndio maana sijataja Meli wala Ndege.
Kuna pia Zahanati zaidi ya 478 pamoja na hospitali za Wilaya,Rufaa pamoja na za kanda kama Hospitali ya Rufaa Chato.
Kiongozi kama huyu huwezi futa legacy yake kwa kutumia keyboard.
Halafu watu fulani wenye kushiriki uovu kupigana na Legacy ya JPM huku wakitaka kuzitumia hizo Landmarks za JPM kwenye uchaguzi ujao wa 2025.Ushahidi uko wazi.
Watuambie kwanza hizo awamu zingine ukiondoa ya Baba wa Taifa JK Nyerere(R.I.P),na pia Benjamin Mkapa(R.I.P).
Hao wengine watuambie legacy zao walizotuachia zaidi ya Ufisadi,Majungu na Kupigana na Makaburi.
Na kama taifa!
Ni nini na zinatusaidiaje kwa sasa kama zipo?
Nzuri hiiJPM alifanikisha ujenzi wa huo msikiti, tusidanganyane.
💩Kikwete ndie Rais pekee katika historia ya nchi hii.alietuachia DARAJA la malipo.
Mtanzania ili uende au kutoka Bagamoyo kupitia njia ya Mji mwema!
Lazima ulipie kupita lile daraja la kifisadi la Kikwete!
Over!
Mkuu ni nini alichofanya Mwendazake ambacho ni cha bure??? Yaani bila kulipia kabisa!!!Kikwete ndie Rais pekee katika historia ya nchi hii.alietuachia DARAJA la malipo.
Mtanzania ili uende au kutoka Bagamoyo kupitia njia ya Mji mwema!
Lazima ulipie kupita lile daraja la kifisadi la Kikwete!
Over!
Mkuu kwani Jakaya ndio kaongea hayo, unachanganya habari. Shekhe aongee yeye umlaumu Jakaya!! Ama kweli chuki ni mbaya!Ila kama kuna binadamu anaishi kwa mateso hii dunia ni kikwete, seems like he has always something to prove, I mean, huyu jamaa amekuwa raisi kwa miaka 10 lkn bado anaona kama kuna pengo kwenye maisha yake, kuna watu wanahitaji therapist kwa maana unashindana hata mtu aliyekwisha kufa na hata rudi tena? Duh …
Na ile video ya mkutano wa Ikulu kati ya JPM na Mfalme wa Morroco JPM akiomba kujengewa msikiti mkubwa na Mfalme akakubali nayo unaizungumziaje!? Kwanini mnakuwa na chuki kwa Wakristo wema kiasi hicho? Shida ni Ukristo wake au mmekubali kutumiwa na wanasiasa kuchafua sifa njema za marehemu? Mtashindana naye sana lakini hata nusu ya mvuto aliokuwa nao JPM kwa wananchi hamtaifikia. Hilo la msikiti liko wqzi kabisa na kumbukumbu zipo lakini mmeamua kulipindisha! Vipi kwa mengine ambayo hayaonekani kwa macho!? Sasa naanza kuamini kuwa Bakwata ni tawi la MCCView attachment 2945052
Wakuu,
Mwenzenu naona aibu sana. Jinsi Magufuli alivyokuwa akijitapa mara atembelee Msikiti huku kavaa Kanzu, Mara amtume Makonda, mara aipige biti. Nimeona aibu sana kwa jinsi alivyokuwa akijitapa.
Kuna siku alisema eti, Mfalme wa 6 wa Morocco alipokuakuja nikamuomba Msikiti. "Akashangaa ananiangalia machoni", nikamuuliza nini? Akasema nimeshangaa Mkristo unaomba Msikiti.
Sasa BAKWATA Wamevunja ukimya na kuweka Kumbukumbu sawa.
Wamesema aloomba Msikiti ni Jakaya Kikwete. Magufuli alikuwa anafanya siasa tu.
View attachment 2945053
Sasa kwanini Hayati Magufuli atafute kiki kwa Msikiti badala ya Makanisa?
Mimi niliikuwa nashangaa. Mafuli awe na moyo wa kuomba Msikiti halafu Watu kila siku watekwee na kupotea?
Asante sana BAKWATA. Sasa nimeanza kuwqamini.
TAKBIR.
MKirudi na nondo za kujisapoti nisjtueni enyi mafarisayo wa kiislamu...Tehetehe... Wabeba jeneza mmekuja kwa kasi
Waislam mtaacha lini chuki dhidi ya wakristo?papa alipokuja Tz mliomba vipaza sauti. Vilipoletwa mlipokea kisha mkasema mmenunua.Huo ni unafiki kwanini hakusema wakati magufuli yupo hatuwezi kusikiliza maneno ya upande mmoja tu kama kwenye kanga angesema na Magufuli yupo ili tusikie naye atasemaje hapo mzee umefeli pakubwa sanaaaaaaaaaa
Hata kama ni hivyo lakini hakufanikiwa. Akaomba tena uncle Magu akapata. Magu hoyeeeeeeeDunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!
Mema Gani??Mm nadhani tuendelee na juhudi ya kufuta yote mema yaliyoasisiwa na JPM maana ndio mkakati mkuu.
Wewe ni miongoni mwa wale vipofu msioona jema lolote la Magufuli.Mema Gani??
Huyu Dikteta aliwaharibu sana KIFIKRA na itachukua muda kuwarudisha kwenye akili zenu. Tatizo 90% ya Watanzania ni wajinga na walikuwa ndiyo mtaji wa Magufuli
Nitajie mema matatu tu halafu nikujibuWewe ni miongoni mwa wale vipofu msioona jema lolote la Magufuli.
Weeeeeeee binadamu kumbe huwajui vizuri weyeMwezi wa ramadhani mtu hawezi kusema uongo
Ha ha ha ha Kaka acha hizoWalitaka kusema ni rais Samia Ila wakaona hesabu haziendi ndio wakamweka mkwere.
Ajabu sana, wewe ni chawa wa hovyo kabisa.Nitajie mema matatu tu halafu nikujibu
Acha mbambamba yaseme kama yapo!! Mlijazwa ujinga na propaganda akiwa hai na bado hamjashituka.Ajabu sana, wewe ni chawa wa hovyo kabisa.
Eti "mema matatu tu"
Nyie wapuuzi ndio mnaamini mpaka taarifa za uongo ilimradi mumseme vibaya Magufuli, ajabu mnaendelea kuamini huo uongo hata pale teknolojia inapowaumbua, mko cheap sana!.