Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingependeza sana ungesema Waislam wenye asili ya Asia ndo matajiri lakini sio hawa wabantu!
ukiashaanza kuwagawa watanzania kwa njia ya dini ni upumbavu mkubwa sana. kwahiyo huo utajari wa waislamu hapa tanzania umetokana na kufanya biashara na waislamu tuuTatizo la wao
Tatizo kubwa la waislam Tanzania hawana uongozi imara wanaotaka maendeleo ya waislam. Waislam wakipata Taasisi inayotaka maendeleo ya waislam, waislam watakuwa na vyuo vikuu zaidi ya l00 Tanzania. Mahospital ya kumwaga. Waislam wengi wameekeza ktk mipira jambo Sui zuri.
Wakiristo watakua nyuma ya waislam. Tatizo uongozi tu
Nb
Waislam kujengewa msikiti sio tatizo kabisa. Huyo jamaa katoa sadakat ljaria
Kwamba wakijenga msikiti ndio itakua maendeleo ya Waislamu WabantuHao waislamu wengi hawana asili ya kibantu wala nilo hamits. . Hawana muda na maendeleo ya waislamu wabantu na wanilotis.
Sahihi waislamu wabantu wengi wauza vitumbua,chapati,mama nitile,wauza mboga,mihogo na matunda na samaki magengeni au sokoni au barabarani na wengi vibarua kwenye kampuni za waasia waislamu wenye viwanda na biashara nchini hawana vipato vikubwaIngependeza sana ungesema Waislam wenye asili ya Asia ndo matajiri lakini sio hawa wabantu!
Usambe Si UtajiriKutoa ni moyo na si utajiri.
Unachotakiwa kuelewa ni kwamba kwanza ule ni msikiti wa BAKWATA na sio msikiti wa waislamu.Ukitaja mabilionea 10 wa Ukweli nchini Tanzania unaweza kukuta wote ni Waislam
Swali
Ilikuwaje Msikiti wao Mkuu pale Kinondoni kimbweru ujengwe kwa Msaada?
Isingewezekana kuujenga wao wenyewe?
Ramadan Kareem
cc: Malaria 2 Pohamba FaizaFoxy
Wakiristo wengi wa vijijini wauza gongo na matap tap?Sahihi waislamu wabantu wengi wauza vitumbua,chapati,mama nitile,wauza mboga,mihogo na matunda na samaki magengeni au sokoni au barabarani na wengi vibarua kwenye kampuni za waasia waislamu wenye viwanda na biashara nchini hawana vipato vikubwa
Kaulize Bakhresa mchele wote ananunua wapi mchele mzuri mnaofuturu sasa hivi hununua kwa Wakristo ndio wakulima wakubwa wa mchele mzuriWakiristo wengi wa vijijini wauza gongo na matap tap?
KitaifaKaulize Bakhresa mchele wote ananunua wapi mchele mzuri mnaofuturu sasa hivi hununua kwa Wakristo ndio wakulima wakubwa wa mchele mzuri
Baadhi sio wote.Moshi kuna vijana wadogo kibao wamesoma hasa ndani na nje ya nchi sekta rasmi na isiyo rasmi ,ndani ya vyama vya siasa na wako hata Moshi hapo kibaoKitaifa
Ulevi wakithiri Moshi, vijana wadaiwa kushindwa kuoa
Shujaa anazidi kupaishwa juu na legacy yake !
Ni bora wangemuacha tu. !
Eti ilikuwa ni jitihada za JK ! Duh 🙄 !
Hawa ma propagandist huwa wanajisahau katika jumbe zao-Mfano hawa wanaotaka kutuaminisha kwamba Hayat Rais Magufuli alikuwa akiwatukana Watanzania kwa kuwaita "Wanyonge" Eti kwa sababu alisema yeye ni 'Raisi wa Wanyonge'Kwani sisi ni wageni kwenye Nchi hii ???!!
Tulitawaliwa na Raisi Muongo....Dunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!