Sheikh Kipozeo amshukia Afande Sele kuhusu kifo cha Magufuli

Sheikh Kipozeo amshukia Afande Sele kuhusu kifo cha Magufuli

Mbona hii ni ya zamani

Afande sele akili kubwa hamjibu

Ova
 
Maneno ya nini
image-26-3-2021-at-5-11-pm-jpg.1735054
 
Mambo ya zamani bibie, yalishapita, lete habari mpya
 
Kumbe kutukana kwake bwana afande ratiba ilianza na Mungu kisha jana chadema ok
 
we bibi na sheik wako kipozeo mkishikwa na wavuta bangi mtajua kwa nini bangi sio sigara
 
we bibi na sheik wako kipozeo mkishikwa na wavuta bangi mtajua kwa nini bangi sio sigara
Unamfundisha bangi mtoto wa wimbo (Wimbley)?

Kwetu natazamana na wimbo kwa mbele, ukija mtaa wa nyuma kwa Tonsa, unamjuwa Kitonsa wewe?

Kamuulize mjomba'ko aliyewahi kuishi Kariakoo miaka ya 70, atakuelekeza wimbo ni wapi na Tonsa ni nani.
 
Back
Top Bottom