Huyu baba toka akutane na Jini maimuna, pale Masjid al Jini kichaa kinamsumbua.Sheikh Kipozeo amshukia Afande Sele kuhusu kifo cha Magufuli.
Sitii langu hapa kwa sasa, jionee mwenyewe:
View attachment 2849106
Chanzo:
View: https://youtu.be/_rImiIvDHnI?si=jVvGaHv0PVX-7CeH
Unamfundisha bangi mtoto wa wimbo (Wimbley)?we bibi na sheik wako kipozeo mkishikwa na wavuta bangi mtajua kwa nini bangi sio sigara