Sheikh Kipozeo ndani ya Take One ya Clouds TV

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Nimecheka sana, na hakika sitaikosa hii!

Leo Jumanne, saa 3 usiku sheikh Al-Habib Hilal Kipozeo atakuwa mgeni kwenye msimu mpya wa kipindi cha Bongo Movie (Take One, New Chapter) akizungumzia masuala mbalimbali ya kinyumba baina ya mke na mume.. Patamu hapoooo!

Kwenye Jingle ambayo Mtangazaji Zamaradi Mketema anaonekana mwenye furaha na kutabasamu kwa maneno ya muhadhir huyu, Kipozeo anasikika akisema, ''Wanawake wametofautiana, kuna mwingine fundi zaidi, awe mtundu mtundu chumbani, mwenye kukuridhisha wewe... Naam''!

Sheikh huyu ni maarufu kutokana na uwasilishaji wake wa mawaidha kwa lugha lainiiiii..
 
Hatari sana na mkubali sana, anakupa dawa huku akitabasam ukichukia utajua mwenyewe
 
hahahahahahahhaha...mzeee wa mizigoooo........nyie pendeni wembamba tu...yaani mamisss...mimi napenda ile mizigo sheikh...iliyojazia neema za allah sheikh...yaani miss bantu
 
Hebu tupieni basi baadhi ya vijipande vya video zake tuone kabla hatuja mkimbilia leo usiku.
 
Mashehe wote wangeubili kama huyu hakika uislam ungekuwa dini ya kila mtu kuikimbilia. Napenda kumsikiliza anahubiri mazuri, rehema uzuri wa uislam. Wengine ni vitisho na kuitana majina mabaya.
Indeed!
 
sheikh Al-Habib Hilal Kipozeo nouma sana hususani akiwa anahadithia maisha ya huko peponi anakuambia mwanaume atakuwa na uwezo wa kuhudumia wanawake 60 na kitu kinakuwa kipo mnara muda wote, aisee sitoikosa hiyo interview yake leo
Hatari sana sheikh!
 
hahahahahahahhaha...mzeee wa mizigoooo........nyie pendeni wembamba tu...yaani mamisss...mimi napenda ile mizigo sheikh...iliyojazia neema za allah sheikh...yaani miss bantu
Eeeh.. halafu anamalizia ''Allahu Akbar''
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…