Sheikh Kipozeo: Tujikite katika hoja sio kuanza kumtafuta mtoa hoja

Sheikh Kipozeo: Tujikite katika hoja sio kuanza kumtafuta mtoa hoja

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
MAONI YA SHEIK KIPOZEO

Naona watanzania, Taifa taratibu taratibu linaanza kujivua ile heshima lililoivaa siku zote.

Tumejitia upofu wa kuikimbia hoja na UKWELI, tukajikita katika kudadavua nani kaleta hoja hiyo.

Niko kwenye Magroup & vikundi vya kijamii kadhaa vyenye Waislamu & Wakristo na wale wazee wa Dini za asili, na kote huko wote wanasema wanaungana na Waraka wa Maaskofu, tena Waislamu ndo wanarukaruka kwa furaha kabisaa wakisema TEC sio mnafiki, TEC imesimama na Maslahi ya nchi!

Wanasema Waraka wa Maaskofu ndo tumaini pekee maana umebeba 'jambo letu wote'. Sisi watanzania tukubali tu sindano iingie, tuupokee ukweli na kama kujibu waraka tuujibu kwa hoja na sio kuanza ku-panic kwamba kasema nani, waraka kaandika nani!

Kwa taarifa yenu hata ingetokea TEC ikakalishwa 'meza maalum' na ikafanya 'handshake' na Serikali na ikafuta tamko, sisi watanzania hatutorudi nyuma, tutaendelea kuukataa Mkataba hivyo tutakomaa na maslahi ya nchi mpaka kieleweke.

Mkataba ni haufai, haufai, regardless kasema nani
 
Hoja za kwamba mkataba unafaa zisikilizwe.
Hoja za kwamba mkataba haufai zisikilizwe pia.
Mwisho hoja sahihi zifanyiwe kazi simple sana.
Una akili sana.
Hoja za kukubali kuingia mkataba na DP World hazikubaliki.Yeyote anaunga mkono uuzwaji wa Bandari za Tanganyika ni mjinga.
 
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
 
MAONI YA SHEIK KIPOZEO

Naona watanzania, Taifa taratibu taratibu linaanza kujivua ile heshima lililoivaa siku zote.

Tumejitia upofu wa kuikimbia hoja na UKWELI, tukajikita katika kudadavua nani kaleta hoja hiyo.

Niko kwenye Magroup & vikundi vya kijamii kadhaa vyenye Waislamu & Wakristo na wale wazee wa Dini za asili, na kote huko wote wanasema wanaungana na Waraka wa Maaskofu, tena Waislamu ndo wanarukaruka kwa furaha kabisaa wakisema TEC sio mnafiki, TEC imesimama na Maslahi ya nchi!

Wanasema Waraka wa Maaskofu ndo tumaini pekee maana umebeba 'jambo letu wote'. Sisi watanzania tukubali tu sindano iingie, tuupokee ukweli na kama kujibu waraka tuujibu kwa hoja na sio kuanza ku-panic kwamba kasema nani, waraka kaandika nani!

Kwa taarifa yenu hata ingetokea TEC ikakalishwa 'meza maalum' na ikafanya 'handshake' na Serikali na ikafuta tamko, sisi watanzania hatutorudi nyuma, tutaendelea kuukataa Mkataba hivyo tutakomaa na maslahi ya nchi mpaka kieleweke.

Mkataba ni haufai, haufai, regardless kasema nani
Ulichoandika hapa ni sawa na mtu unaejamba alafu unakisingizia kimvuli chako.

Kulisha maneno watu au hata huyo sheikh wa niletee wali wa nazi akiandika hivyo haitobadili kitu.
Wengi tumesimama na serikali na serikali imesimama na sisi.

Hizi thread zenu zote zitaangukia pua, Trust me 🤞
 
MAONI YA SHEIK KIPOZEO

Naona watanzania, Taifa taratibu taratibu linaanza kujivua ile heshima lililoivaa siku zote.

Tumejitia upofu wa kuikimbia hoja na UKWELI, tukajikita katika kudadavua nani kaleta hoja hiyo.

Niko kwenye Magroup & vikundi vya kijamii kadhaa vyenye Waislamu & Wakristo na wale wazee wa Dini za asili, na kote huko wote wanasema wanaungana na Waraka wa Maaskofu, tena Waislamu ndo wanarukaruka kwa furaha kabisaa wakisema TEC sio mnafiki, TEC imesimama na Maslahi ya nchi!

Wanasema Waraka wa Maaskofu ndo tumaini pekee maana umebeba 'jambo letu wote'. Sisi watanzania tukubali tu sindano iingie, tuupokee ukweli na kama kujibu waraka tuujibu kwa hoja na sio kuanza ku-panic kwamba kasema nani, waraka kaandika nani!

Kwa taarifa yenu hata ingetokea TEC ikakalishwa 'meza maalum' na ikafanya 'handshake' na Serikali na ikafuta tamko, sisi watanzania hatutorudi nyuma, tutaendelea kuukataa Mkataba hivyo tutakomaa na maslahi ya nchi mpaka kieleweke.

Mkataba ni haufai, haufai, regardless kasema nani
Sheikh kipozeo huwa haongei siasa tangu 1990s,ndiyo maana hajawahi kamatwa na polisi,kiasi baadhi ya waislam kumshuku ni 'serikali'..Hilo ulilonukuuu ni parody
 
Mkataba ni haufai .. haufai.. regardless kasema nani.
 
MAONI YA SHEIK KIPOZEO

Naona watanzania, Taifa taratibu taratibu linaanza kujivua ile heshima lililoivaa siku zote.

Tumejitia upofu wa kuikimbia hoja na UKWELI, tukajikita katika kudadavua nani kaleta hoja hiyo.

Niko kwenye Magroup & vikundi vya kijamii kadhaa vyenye Waislamu & Wakristo na wale wazee wa Dini za asili, na kote huko wote wanasema wanaungana na Waraka wa Maaskofu, tena Waislamu ndo wanarukaruka kwa furaha kabisaa wakisema TEC sio mnafiki, TEC imesimama na Maslahi ya nchi!

Wanasema Waraka wa Maaskofu ndo tumaini pekee maana umebeba 'jambo letu wote'. Sisi watanzania tukubali tu sindano iingie, tuupokee ukweli na kama kujibu waraka tuujibu kwa hoja na sio kuanza ku-panic kwamba kasema nani, waraka kaandika nani!

Kwa taarifa yenu hata ingetokea TEC ikakalishwa 'meza maalum' na ikafanya 'handshake' na Serikali na ikafuta tamko, sisi watanzania hatutorudi nyuma, tutaendelea kuukataa Mkataba hivyo tutakomaa na maslahi ya nchi mpaka kieleweke.

Mkataba ni haufai, haufai, regardless kasema nani
Ahsante,'Examine what is said, not the one who says it.'!!
 
Sheikh Hilary kipozeo amawaasa wale wote wanaounga mkono na kupinga mkataba wa Bandari wapambane kwa hoja kwa hoja sio kupinga au kukubali bila kuweka hoja zenye mashiko mezani. Amekemea wale wote wanaoingiza mambo ya Udini kwenye swala hili badala ya kujibu hoja zilizopo mezani.

FB_IMG_16927748443587134.jpg
 
Back
Top Bottom