Sheikh Kishki amfundisha Lema Alifu kwa kijiti

Umetisha hapa Kiranga ajipange sana
 
Wewe bila shaka ni anti creationist
 
" Mungu asie kuwa na mfano wa kitu chochote kile".

Umejuaje kama Qur'aan ni ujumbe wa Mungu wakati huyo Mungu hafanani na kitu chochote kile? Kipi kimekufanya uwe na uhakika kwamba Qur'aan imetoka kwa Mungu wakati umesema huyo Mungu hafanani na kitu chochote kile?

Mimi ninaweza kuwa na unakika kwamba barua niliyoletewa imetoka kwa mama angu kwa sababu ninamjua mama angu vizuri so sintokuwa na Shaka kwamba ujumbe huo umetoka kwake.
 
Naomba unijibu swali je Adam alizaliwa? Kama.jibu ni ndio mama yake na baba ake ni nani?
 
Naomba unijibu swali je Adam alizaliwa? Kama.jibu ni ndio mama yake na baba ake ni nani?
Mtu anaambiwa alete uthibitisho wa kuwepo Mungu, anataja kifo.

Huyo hajielewi, hajui hata kufikiri kimantiki.

Kifo kinatenganisha watu, kinatenganisha wanyama, kwa huzuni kubwa, kwa maumivu sana.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, angekuwepo, kusingekuwa na kifo hiki cha huzuni kubwa.

Kuwepo kwa kifo hicho kinatuonesha Mungu huyo hayupo.

Hakituoneshi Mungu huyo yupo.

Angekuwepo, kwa upendo wake mkuu, ujuzi wake mkuu na uwezo wake mkuu, angetunusuru na kifo hiki cha huzuni kubwa.

Mtu anatoa ushahidi kwamba Mungu hayupo, kimantiki, halafu anasema huo ni ushahidi kwamba Mungu yupo.
 
Hilo Ni kafiri sugu hawezi kukuelewa. jitu linafakamia kula kenge,mamba, nguruwe, Kobe, paka akili za mungu azitoe wapi? achana nae tu
KAFIRI wa kwanza ni Mtume Muhammad (S.A.W)

Unataka kujua Ukafiri wake?
 
Huo ndio muujiza wa mwenyezi Mungu kwasababu hata wewe haujui alikotoka Adamu.... na je unaelewa maana ya neno binadamu?
Mungu hafanani na kitu chochote kwa sababu hajazaliwa. Mbona Adam na yeye hajazaliwa? Nikisema Mungu anafanana na Adamu ktk aspect hiyo nitakuwa sahihi au ?
 
Choo kunuka kunathitisha Mungu hayupo angekuepo asinge ruhusu tuteseke na harufu mbaya ya choo. Uwepo wake ungeruhusu Kila mtu asikie harufu aipendayo kutoka kwenye choo!
 
Ujinga wa kiwango cha lami.Hili si jibu labda ramli au uzwazwa.
 
Mungu angekuepo asinge ruhusu tutoe harufu yenye kukera. Badala yake tunge toa harafu ya kuvutia kwa Kila mnusaji kwa tafsiri yake
 
Naomba unijibu swali je Adam alizaliwa? Kama.jibu ni ndio mama yake na baba ake ni nani?
Adamu hakuzaliwa Adamu aliumbwa na Mungu. Adamu aliumbwa kwa udongo. Yesu alizaliwa kwa Mama bikira Maria yesu sio Mungu na wala Adamu sio Mungu wote ni Wanadamu Yesu na Adamu.
 
Hakuna watu wenye kufuru kuwazidi wakristo
ww ni kafir insui unae mbishia hata mungu wako aliyetangaza![emoji15][emoji12]
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na each Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
 
Wewe Ni Kafiri utawezaje kuamini kuwa Mungu yupo?Wakati wewe ni Kafiri? sitaki hoja zako zisizo kuwa na msingi wowote huna hoja ya maana kuthibisha kuwa Hakuna Mungu siwezi kushindana na Mtu kafiri asiye amini kuwa kuna Mungu wakati wewe umezaliwa na ipo siku yako utakufa ndipo utakapo juwa kama kweli yupo Mungu.Utakayo yaona huko wakati umeshakufa ndipo utatamani urudi duniani kufanya toba lakini hakuna muda tena wa kutubu adhabu ya Moto wa Jahhanamu inakusbiri upate kuingizwa Motoni na kuhukumiwa huko ukakae milele kwa kukufuru kwako .Kusema eti hakuna Mungu kazi kwako subiri siku yako ifike ndipo utajuwa ninayo yasema ni ya ukweli au maneno yangu ni ya uongo. Kazi kwao.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Unalazimisha awepo.

Hilo nalo linaonesha hayupo.
 
Islamic Knowledge form3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…