Sheikh Kishki amfundisha Lema Alifu kwa kijiti

Kifo kinatenganisha watu, kinatenganisha wanyama, kwa huzuni kubwa, kwa maumivu sana.
Wanaoleta huzuni juu ya kifo ni watu na wanyama wenyewe.

Watu ndio wameamua wawe na huzuni kinapotokea kifo kama ambavyo watu hao hao ndio wameamua wawe na furaha mtoto anapozaliwa.

Hivyo kuweko kwa huzuni katika kifo hakukanushi uwepo wa Mungu kwa sababu watu wenyewe ndio wameamua.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote,
Sifa hizi za mungu umezitoa katika maandiko gani ama ni sifa umeamua kuzitunga mwenyewe ili utilie nguvu ya yale unayoyapinga ?

Naomba kujua andiko gani umetoa sifa hizi za Mungu ili isiwe tunsmuongelea Mungu kwa uzushi ?
Kuwepo kwa kifo hicho kinatuonesha Mungu huyo hayupo
Umekubali mwenyewe kwamba Mungu mwenye uwezo wote ni katika sifa zake,vipi hiki kifo si ni katika uwezo wake wa kukiweka nduo maana akaweka kifo ???

unapokubali hojs ya Mungu mwenye uwezo wote maana yake uwezo wake ndio pia umefanya kifo kiwepo na hiyo HUZUNI pia iwepo kwa sababu ya uwezo wake.


angetunusuru na kifo hiki cha huzuni kubwa
Huzuni ya kifo haijaletwa na Mungu ni watu wenyewe wameamua kuwa na huzuni ksma nilivyotangulia kusema.
 
Herbalist Dr MziziMkavu kwa nini tuiamini Quran?
Kwanini tuiamini Quran? Hebu tuiulize Qurani yenyewe itatupa jibu sahihi.

Quran
Sura 2 Al-Baqara Aya ya 2. 2. Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu. chanzo Al Baqara
Ufafanuzi zaidi huo hapa chini Hichi ndicho Kitabu kilicho kamilika, kisicho kuwa na towa, nacho ni Qur'ani tunayo iteremsha isiyo tiliwa shaka yoyote na kila mwenye akili na mwenye insafu akajua kuwa inatoka kwa Mwenyezi Mungu. Wala haitilii shaka kuwa yasemwayo juu ya mambo na hukumu ni ya kweli tupu. Ndani ya Kitabu hichi upo uwongofu ulio kamilika kwa walio kuwa tayari kuitafuta Kweli, na wanajikinga na madhara na mambo ya kuwaletea adhabu.
 
Labda kwa nguvu ya vitisho lakini kiroho hamna kitu hivi yule mhindi aliyesema imani yenu ina aya za kishetani mbona mmeshindwa kumdhuru kiroho badala yake mkaenda na bisu na bado hamjamuua,uislam ni baba wa hofu.
 
Labda kwa nguvu ya vitisho lakini kiroho hamna kitu hivi yule mhindi aliyesema imani yenu ina aya za kishetani mbona mmeshindwa kumdhuru kiroho badala yake mkaenda na bisu na bado hamjamuua,uislam ni baba wa hofu.
Hakuna bisu litakalotumika kwa Lema.Hofu tu itammaliza pole pole.Atakuwa anajuta na kwa vile anawaogopa nyinyi bado ya Mwenyezi Mungu na tayari kamkosea adabu basi atanyong'onyea na sijui uchaguzi ujao kama ataweza.Dawa aende kwa skh Kishiki akatubu.
Yeye anajua mahesabu gani kuliko mahesabu ya Mungu.
 

Thibitisha bila kutumia rejea za vitabu vya waarabu.
 

Bila kichaka cha kifo,hizi dini zote ni upuuzi hata wewe unaamini dini kwa sababu ya hofu juu ya kifo,upuuzi mtupu.
 

Nilikua nakuona mtu mwerevu kumbe mpuuzi kati ya wapuuzi,utumwa wa kidini umekuondolea uwezo wako wa akili.
 
Umeulizwa swali la kudhalilisha ubongo wako, nawe ukaingia kichwakichwa.

Umeandika pumba tupu
Yani mtu anakujibu kwa hoja then unarespond kirahisi tu namna hiyo bila support yoyote as if opinion yako wewe ndo judgement ya kweli na uongo!

Ikiwa wewe umeamua kutoamini hakuna binadamu anayeweza kukuaminisha. Mtume mwenyewe (SAW) aliambiwa yeye ni muonyaji tu na uongofu unatoka kwa Allah pekee.
 
Mimi ninaweza kuwa na unakika kwamba barua niliyoletewa imetoka kwa mama angu kwa sababu ninamjua mama angu vizuri so sintokuwa na Shaka kwamba ujumbe huo umetoka kwake.
Hoja dhaifu kabisa! kwahiyo unatambua tu barua kutoka kwa yule unayemjua? kwani anakuwa yupo yeye mwenyewe kwenye hiyo barua? Umetoa mfano mzuri wa barua lakini umekosa kutambua vipi barua inafanya kazi. Kila mwisho wa barua huwa na jina na sahihi (wakati mwengine muhuri) unaoonesha authority ya wapi hiyo barua inatoka. This is how you know that this letter is from your Mother, Uncle or a King!

Sasa basi kwa ujumbe sahihi utokao kwa Allah kwetu sisi wanadamu lazima pia unakuwa na authority ya kuthibitisha kwamba maneno hayo yanatoka kwake. Hii ndo sababu mitume walikuja na miujiza to support their message to us from Allah. It is also worth to understand that when these miracles are confirmed by eye witnesses then it's a miracle for those who saw the miracle (simply implying that the message is for them who witnessed the miracle), kwetu sisi tuliopo sasa ni story of the miracle that is confirmed by the trusted source but still it is not a miracle to us but for those who witnessed it.

Now Quran is the message and the final miracle to us katika mfano uleule wa barua ulioutoa kwa kuwa ndani yake kuna miracles zinazothibitisha source ya hiyo Quran (coming from the all knowledgeable, the creator). In it kuna scientific evidences that were only confirmed by our modern science centuries after it was revealed, in it there are some linguistic miracles that man has only been able to understand recently after the advancement of the printing press and computer based analysis (E.g. ring composition found in the the Quran and within multiple verses in it like Ayatul Qursi), you will appreciate the authenticity of the Quran more ukizingatia kwamba Quran was revealed as a spoken word and not a written book. Most amazingly it was revealed to the person who could neither read nor write (Surely it was not his invention). The best writer in the world will need to revisit his one page and sometimes delete and rewrite it several times to make sure that it is correctly written and conveying the right message in the intended style of the presentation, sasa tambua kwamba hii Quran iliposomwa na Mtume kwa watu it was just 'spoken once' to the extent of what was revealed at that time, na hapakuwa na zile "eeennnh ngoja kidogo, toa hilo neno weka hili" . This is a miracle in and of it self!

Wadamu tumepokea barua (Quran)kwa aliye tuumba (Allah), ndani yake kuna mihuri mingi (dalili) zinazothibitisha kuwa huu ujembe unatoka kwake yeye muumba wa yote. Jukumu letu ni kuisoma ili tupate muongozo.
 
Kwanini akatubu kwa kishki?
 
Amekuelewa,atajifanya hajakuelewa.Na ajizuie tu asiende choo kikubwa na kidogo,awe hayafanyi hayo,hapo ndio atajua kama Mungu yupo au hayupo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
That is a logical non sequitur fallacy

Kushindwa ama kuweza kujizuia choo hakuna uhusiano na kuthibitisha uwepo wa Mungu.
 
Ameshakuelewa.Ajizuie asende choo kikubwa wala kidogo,kama yeye ni mwamba.Hapo alipo choò kimembana.Madaktari na wanasayansi bingwa,wameshindwa kubadilisha mfumo wa Mungu,alivyomuumba mwanadamu ende choo,ataka asitake.
Unajuaje ama unathibitisha vipi kuwa huo mfumo wa choo umewekwa na huyo Mungu?
 
Choo kunuka kunathitisha Mungu hayupo angekuepo asinge ruhusu tuteseke na harufu mbaya ya choo. Uwepo wake ungeruhusu Kila mtu asikie harufu aipendayo kutoka kwenye choo!
Hawa watu hawaelewagi hata wanachokiongea.

Yani hawaelewi kama huwa wanajipinga
 
Adamu hakuzaliwa Adamu aliumbwa na Mungu. Adamu aliumbwa kwa udongo. Yesu alizaliwa kwa Mama bikira Maria yesu sio Mungu na wala Adamu sio Mungu wote ni Wanadamu Yesu na Adamu.
Adam alikuwa mtu wa udongo?

Yan kwenye elements zote hizi tuzijuazo leo hii, Mungu aliumba watu kwa udongo?

Kweli udongo kweli kabisa nawewe unakubali?
Kazi ipo
 
Hapa ndipo ujinga ulipo kwenye vitabu vya dini.
Qur'an +biblia na vingine ni the same
 
Yani wewe poyoyo unamtishia lema unamjua lema au unamsikia tu kama unamsikia tu kamuulize sabaya yule jambaz na maguful watakupa jibu vizur,kwanza haombi msamaha na huna cha kumfanya wewe endelea kuwa brainwashed na wapuuz wenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…