Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kavurugwa huyuRitz Bana? TEC wanachaguaje Shekhe wa mkoa?
Lukuvi alisema jambo la kweli ila kosa kubwa hadhara ya kanisani sio sahihi. Amewapa kazi wadakizi wanaoishi kwa uchochezi wa kidini na wale wasioisha hisia za kidini.Sheikh anahaha kukiokoa chama chake ccm. Hata mtt mdogo anajua lukuvi aliropoka maneno ya UKWELI lakini pia ni hatari kwa mustakabali wa taifa. Sio kila ulionalo linafaa kuongea.
Yowe za mfumo kristooooo ni kiini macho cha kuzugazuga watu ile wenye mikakati yao ya kupenyeza chuki za udini wajihalalishie fitina zao.Wapi umeona mfumo kristo ambapo kwenye petrol stations na viwandani kumejengwa nyumba za kuabudia.tujiulize viwanda hivi au petrol stations vimepewa leseni za kuendesha ibada au biashara.Au zipo radio za kiimani ambazo kazi kubwa ni kuwekka mijadala na fitina za kisiaasa.Tujiuleze kwa nini vyombo haviendi kwa msajili wa vyama vya siasa na kujiandikisha rasmi.'WATU' wameishaanza ku'foam' kama wamelishwa omo!
HEBU RUDINI KWENYE MADA BANA!
MFUMO KRISTU, MFUMO KRISTUUU, HEBU ACHENI UKASUKU!
Kwa hiyo shehe wa BAKWATA wa Mkoa wa Dar es Salaam hakuanza leo ukada wake wa CCM, kwa nini asingekaa kimya akakubali yaishe? Akaamua kumkimbiza chizi aliyemuibia nguo zake, ona sasa anavyoachwa uchi mbele ya hadhara kwa kukosa Hekima, kesho ijumaa atapanda kwenye mimbari ? Natamani ningekuwa hapo niuone ushujaa wakebakwata ni tawi na kichaka cha ccm, mashekhe wengi wa bakwata ni wanachama au viongozi wa ccm mtakapoamu kupambana na ccm mpambane pia na matawi yao
Lukuvi mwenyewe ana hisia za udini kama MwiguluLukuvi alisema jambo la kweli ila kosa kubwa hadhara ya kanisani sio sahihi. Amewapa kazi wadakizi wanaoishi kwa uchochezi wa kidini na wale wasioisha hisia za kidini.