Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kuna viongozi wa dini walijsahau wakajiona miungu mtu badala ya kutumikia wananchi wamekuwa wakitumia madaraka vibaya kuwaadhibu wabaya waooo
Wapooa waliokwenda mbaolli wskafikia kutaka vipusa vya wenzao walio chini yaooo
Haitoshi wapoo walioamua kuwaadhibu wenzao kisa tu kuhoji matumizi ya sadaka zaka nk ...
Leo Mh sheikh mkuu na baraza lake wameonyesha umma kumbe hekima n kitu chamaana sanaa
Cheo ni dhamana sio sehemu ya kumwadhibu mwenzio unaposhindwa kuelewana nae....
Hali hii nitoe rai kwa sheikh mkuu na wengineo wekeni mda wa kuondoka kama hawa...ama kuwahamisha kila baada ya miaka 3
Shida mojaa wanajihisi watafia madarakaniii
Niwapongezee waislamu wotee huu ni ushindi dhidi ya kiburi dhidi ya wasiokuwa na hekima zaidi zidi ya cheo hakina undugu
Kwa msiojua... tafuteni uhusiano wa aliepigwa chuma sheikh mkuu wa Dar na ... aliehitimisha .....
Mnapopewa vyeo vikubwa kwenye dini msipotolewa mungu atawaondoa dunian watu waendlee kuishi kwa amani
Mwisho askofu mkuu shoo tunaomba mfanye mabadiliko kwenye vuongozi wenu asa wa dar ama waondoke ama uwahamishe .......hii italeta amani na kuaminika....
Kila la kheriii yaani sheikh mkuu tanzania umenifanyaaaa.aaa leoo niagize dompoo na mbuzii pori kwa furaha nilionayo
Nawataka heri ya mwaka mpya waislamu wote
Wapooa waliokwenda mbaolli wskafikia kutaka vipusa vya wenzao walio chini yaooo
Haitoshi wapoo walioamua kuwaadhibu wenzao kisa tu kuhoji matumizi ya sadaka zaka nk ...
Leo Mh sheikh mkuu na baraza lake wameonyesha umma kumbe hekima n kitu chamaana sanaa
Cheo ni dhamana sio sehemu ya kumwadhibu mwenzio unaposhindwa kuelewana nae....
Hali hii nitoe rai kwa sheikh mkuu na wengineo wekeni mda wa kuondoka kama hawa...ama kuwahamisha kila baada ya miaka 3
Shida mojaa wanajihisi watafia madarakaniii
Niwapongezee waislamu wotee huu ni ushindi dhidi ya kiburi dhidi ya wasiokuwa na hekima zaidi zidi ya cheo hakina undugu
Kwa msiojua... tafuteni uhusiano wa aliepigwa chuma sheikh mkuu wa Dar na ... aliehitimisha .....
Mnapopewa vyeo vikubwa kwenye dini msipotolewa mungu atawaondoa dunian watu waendlee kuishi kwa amani
Mwisho askofu mkuu shoo tunaomba mfanye mabadiliko kwenye vuongozi wenu asa wa dar ama waondoke ama uwahamishe .......hii italeta amani na kuaminika....
Kila la kheriii yaani sheikh mkuu tanzania umenifanyaaaa.aaa leoo niagize dompoo na mbuzii pori kwa furaha nilionayo
Nawataka heri ya mwaka mpya waislamu wote