aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Alisema mwisho wake wa kutukana itakuwa 31 Desemba 2018, watu wakajua kuwa mange atakufa ila kumbe laa ni ataacha udomokaya wake.
Shekh wa watu amepiga dua za kutosha mange akaanza withdraw taratibu na kuacha kutukana watu.
Toka mwaka uanze yupo kimya. Now yupo busy na Hamisa na Jack Pemba
Shekh wa watu amepiga dua za kutosha mange akaanza withdraw taratibu na kuacha kutukana watu.
Toka mwaka uanze yupo kimya. Now yupo busy na Hamisa na Jack Pemba