Sheikh Mkuu wa Dar afanikiwa kumdhibiti Mange Kimambi

Sheikh Mkuu wa Dar afanikiwa kumdhibiti Mange Kimambi

aka2030

Sheikh kapiga dua hadi Mange Kasanda,yaani hadi Mlevi Dudubaya kampoteza Mange Daaa kweli Sheikh Alhad ni NOMA.
 
Mimi nikisema ninayojua kuhusu hilo jambo nitakuwa nmefedhehesha makusudi, kwa kua anastahili heshima ngoja nikaushe tu. Ila aliomba msaada kigoma,na tanga.
 
Mimi nikisema ninayojua kuhusu hilo jambo nitakuwa nmefedhehesha makusudi, kwa kua anastahili heshima ngoja nikaushe tu. Ila aliomba msaada kigoma,na tanga.
 
Sasa we ukae chini uongee kiarabu tu mtu mwingine apate madhara, kama sio mazingaombwe nini?
Hahahaha. Mkuu Tanga mjini nadhani ndio panaongoza kwa wingi wa vichaa wenye umri mdogo. Mambo hayo hayo ya kusomeana.

Mpemba anakwamba kitu changu mwenyewe unaniibia halafu nende polisii!, nanshtakia Mungu tuuuu.
 
Hahahaha. Mkuu Tanga mjini nadhani ndio panaongoza kwa wingi wa vichaa wenye umri mdogo. Mambo hayo hayo ya kusomeana.

Mpemba anakwamba kitu changu mwenyewe unaniibia halafu nende polisii!, nanshtakia Mungu tuuuu.


Hakuna kitu kama hicho.
 
Wewe ni wa kusikitikia sana kama unaamini upumbavu wa yule kitombi!

Mange kavutiwa dola 350,000 ndio maana kila siku anakula bata na mashauzi kibao insta!

Zitaisha nadhani atarudi tena,avute zingine!

Eti shehe!

Upuuzi mtupu!

Ndicho alichokuwa akikitafuta siku zote.

Mliodhani ni mwanaharakati mlikuwa hamna kazi ya kufanya.
 
Ndicho alichokuwa akikitafuta siku zote.

Mliodhani ni mwanaharakati mlikuwa hamna kazi ya kufanya.

Sijawahi muamini kwa lolote...

At the time walao tulipata mtu wa kuongea chochote maana the whole country was taken hostage na jiwe!

Hakuna aliekua ana dhubutu kuongea chochote.....
 
Pole sana Mange Kimambi,Ni kweli mwaka huu umekuwa Kimya sana,nadhani ukimya wako umetokana na habari mbaya ulizozipata July 2019 kwa kugundulika na Cancer ya maziwa(Breast Cancer),pole sana fuata ushauri wa Dr wa kuanza chemotherapy.
 
Pole sana Mange Kimambi,Ni kweli mwaka huu umekuwa Kimya sana,nadhani ukimya wako umetokana na habari mbaya ulizozipata July 2019 kwa kugundulika na Cancer ya maziwa(Breast Cancer),pole sana fuata ushauri wa Dr wa kuanza chemotherapy.
Insanity is to keep doing the same thing in the same way expecting different result.
 
Pole sana Mange Kimambi,Ni kweli mwaka huu umekuwa Kimya sana,nadhani ukimya wako umetokana na habari mbaya ulizozipata July 2019 kwa kugundulika na Cancer ya maziwa(Breast Cancer),pole sana fuata ushauri wa Dr wa kuanza chemotherapy.
duh kansa ya titi tena? pole yake na uzuri wa nyonyo zile dah
 
Back
Top Bottom