Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Yes, pia hata Mufti Issa Simba alikuwa mkwewe. Huyu Sheikh inaonekana alioa kwa ma Mufti ili aendelee kubaki Dar.



Basi huenda ndio maana wamemtumbua kipindi Muft hayupo ofisini akiugua?!

Itakuwa kaimu Muft na wenzie wakaona hapahapa faster bila simile !

Kamba hukatikia pembamba.
 
Yes, pia hata Mufti Issa Simba alikuwa mkwewe. Huyu Sheikh inaonekana alioa kwa ma Mufti ili aendelee kubaki Dar.
Kuna kidem fulani alikioa nako akakipangishia nyumba magomeni
Hicho kidem kilikuwa kinaishi brazil
Huyu sheh Acha tu

Ova
 
Back
Top Bottom