Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Status
Not open for further replies.
Tumtake radhi kwani alieleza nini cha maana?
Haya yote yanayozungumzwa sasa tumeyajadili. Labda nikueleza tofauti moja ya Lissu na Mohamed, Lissu anaongea kwa data na vithibitisho. Mohamed Said anaongea kwa hisia 'inasemekana, imesemwa, nilisikia, ati, huenda' n.k.

Nitake radhi upotoshaji,fitna na uzushi, ebo! nidhalilishe uwezo wangu wa kufikiri !
Tadhali nitake radhi kwa kunihusisha na mada za MS
Nguruvi3, wewe na Mzee wetu mwenye chama mnapingana matusi ya Lissu kwa Nyerere wewe unayaita data na vithibitisho, msome Mzee Mtei.
quote_icon.png
By Edwin Mtei
Nilisikiliza Mheshimiwa Tundu Lissu na nasikitika kwamba sikubaliani naye jinsi alivyoeleza shutma juu na dhidi ya Mwalimu Julius Nyerere, Baba na Muasisi wa Taifa letu. Inajulikana na umma wa Watanzania, kwamba mimi binafsi, kama Waziri wa Fedha, nilitofautiana na Mwalimu, nikajiuzulu Uwaziri Decemba,1979, nikimwomba ateuwe Mtanzania mwingine atakayeshauri mambo ya Uchumi na Fedha. Lakini tuliendelea kuwasiliana kwa maelewano bila chuki, na hata aliniteuwa niwe Mwakilishi wa Tanzania na Afrika inayoongea Kiingereza katika IMF (Shirika la Fedha Duniani) chini ya miaka mitatu baadaye Novemba, 1972. Nimekuwa na mawasiliano na maelewano mazuri sana na Mwalimu hata baada ya kuasisi CHADEMA, Julai 1992 na tulipokamilisha Katiba na Sera za Chadema, nilimtembelea Nyumbani kwake Butiama nikampa azisome ajionee jinsi tulivyonuia kuwahudumia Wananchi wetu. Hata siku moja siwezi kumtusi Muasisi wa Taifa letu. Iwe ni mwiko pia kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumtusi Baba wa Taifa.

Ningewashauri uongozi wa Chadema na hasa Vijana wa M4C (Vuguvugu la Mabadiliko) tuendelee na uhamasishaji : kwa umakini, tukiwa na huruma kwa wanyonge maskini wa kutupwa, tukijiandaa kwa umakini na kiutaalamu Sera na Mikakati ya kuwakomboa toka katika umaskini wa kutupwa kwa kutumia nguvu ya umma (Peoples Power) tukitumia mikakati sahihi: kwani Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke: Mikakati na Sera sahihi ikiwa ni kutumia misingi ya Uchumi na Miundombinu tulionayo licha ya uhalisia dhoofu tulioridhi; tukiwaenzi walioijenga na kuturidhisha kwa unyofu wao. Roho ya Julius Nyerere ilale mahala pema Peponi. Amen!

With all due respect to Hon. Tindu Lissu, this smacks BAD TASTE.

Edwin Mtei
Founder Chairman of CHADEMA
.

Kazi kweli kweli tutasikia mangi.

Ahsanta.
 
Wanajeuri hata ya kupambana ili kupata haki za hao mbwiga...!?
Akhui wabara,

nyerere_mkapa_and_warioba.jpg


Angalia hii picha vizuri kushoto kabisa ni Jaji Warioba unadhani kwa nini kajitenga hapa kwenye picha, ebu angalia kina Mkapa na wenzake walivyokuwa na nidhamu ya uoga wote wameweka mikono nyuma.
 
Akhui wabara,

nyerere_mkapa_and_warioba.jpg


Angalia hii picha vizuri kushoto kabisa ni Jaji Warioba unadhani kwa nini kajitenga hapa kwenye picha, ebu angalia kina Mkapa na wenzake walivyokuwa na nidhamu ya uoga wote wameweka mikono nyuma.

Ritz,

Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuh, pole na nijaalie hali yako nduu langu.

Hakika ni far ha kubwa mno kutana nawe hapa barzani ili badilishana mawili kwa matatu katika mustaqbali wa nchi yetu hii katika mapito ilopita nasi kuburuzwa na Kambarage Nyerere wakti ule.

Nidhaam za kinafiki za hao akina Mkapa matokeo yake soote Watanzania tuliyaona na twayaona.

Yaani tofauti ya Mkapa na Kambarage labda miili tu na UJANJANJA lakini mangine mangi mno ni yale yale kama ule mzizi mkuu.

Hata hoyo Warioba anayo pia mapungufu yake na anajifahamu na baadaye twaamini kupitia mapungufu yake atajigeiya/ amejigeiya fasi ya kuyarekabisha machafu ya dhahiri shahiri kupitia hiyo Rasimu ya Katiba.

Shukraan.
 
Asalaam aleykum Al-Akh,

Sheikh Mohammed Said kwa muda mrefu tumekuwa tukijadiliana kwa marefu na mapana kuhusu historia ya Tanzania. Ukaleta kitabu cha life and times of Abdulwahid Sykes watu wakakubeza. Kikaja kitabu chengine cha the Rise of Muslim Militants wakakubeza. Ukweli umeanza kujitokeza bungeni sasa baada ya Tundu Lissu kumwaga hadharani mtama kuwa kiini cha Tatizo la nchi hii ni nani na kwanini? Na mambo yanavyozidi kwenda mbele nadhani mengi yatajitokeza hadharani. Kassim Hanga alivyokuwa ametamkwa nilitokwa na machozi kwani kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiogopa kusema what happened to this person na who is responsible for his death. Na wengineo wengi.

Binafsi nakupa hongera ukweli umeanza kudhihirika. Na akina Nguruvi, Mwanakijiji na wengineo mtakeni Radhi Sheikh Mohammed kwa kumbeza na usoni mambo yatazidi kuja hadharani na mchakato wa katiba hii.


Nilikuwapo!

so unamkubali Lissu aliethubutu eeh
 
Ritz,

Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuh, pole na nijaalie hali yako nduu langu.

Hakika ni far ha kubwa mno kutana nawe hapa barzani ili badilishana mawili kwa matatu katika mustaqbali wa nchi yetu hii katika mapito ilopita nasi kuburuzwa na Kambarage Nyerere wakti ule.

Nidhaam za kinafiki za hao akina Mkapa matokeo yake soote Watanzania tuliyaona na twayaona.

Yaani tofauti ya Mkapa na Kambarage labda miili tu na UJANJANJA lakini mangine mangi mno ni yale yale kama ule mzizi mkuu.

Hata hoyo Warioba anayo pia mapungufu yake na anajifahamu na baadaye twaamini kupitia mapungufu yake atajigeiya/ amejigeiya fasi ya kuyarekabisha machafu ya dhahiri shahiri kupitia hiyo Rasimu ya Katiba.

Shukraan.
Waleykum Salaam ndugu yangu wabara.

Mie sina cha zaidi najaribu kiduchu kuweka hizi bayana za Wakubwa waliotangulia mbele ya haki.

SHEIKH+SULEIMAN+TAKADIR%252C+JOHN+RUPIA+AND+NYERERE+1955.jpg


Kutoka kushoto kwenda Kulia: Sheikh Suleiman Takadir, John Rupia na Julius Nyerere. Hao waliowazunguka ni TANU Bantu Group kundi la walinzi na wahamasishaji ..​
 
Last edited by a moderator:
nyeyere_ikulu_dsm.jpg


Dr Salim,Graca Simbine-Machel-Mandela,Mama Maria,Butiku,Mzee Aboud Jumbe,Mwalimu na Samora.
 
Waleykum Salaam ndugu yangu wabara.

Mie sina cha zaidi najaribu kiduchu kuweka hizi bayana za Wakubwa waliotangulia mbele ya haki.

SHEIKH+SULEIMAN+TAKADIR%252C+JOHN+RUPIA+AND+NYERERE+1955.jpg


Kutoka kushoto kwenda Kulia: Sheikh Suleiman Takadir, John Rupia na Julius Nyerere. Hao waliowazunguka ni TANU Bantu Group kundi la walinzi na wahamasishaji ..​

Ritz,

Naona leo nduu langu mekusudia nitoa matozi, maana hapa Library kwangu ninazo picha niloachiwa na nduu zangu wakati huo.

Sasa nkiziona tu Wallaah matozi hunibubujika kwa hali walizomaliza nazo.

Ila nnahakika hawajapoteza kitu History ina/itajirudia muda si mrefu.

Ndo nkapishana humu na watotokelezi walodanganywa na kuandikiwa miutumbo utumbo nao ati kuamini ule UJANJANJA wa yule Kambarage Nyerere....!?

Every good things and bad things come to an end.

So the end of Nyererelialism has reached.

Shukraan.
 
Last edited by a moderator:
Waleykum Salaam ndugu yangu wabara.

Mie sina cha zaidi najaribu kiduchu kuweka hizi bayana za Wakubwa waliotangulia mbele ya haki.

SHEIKH+SULEIMAN+TAKADIR%252C+JOHN+RUPIA+AND+NYERERE+1955.jpg


Kutoka kushoto kwenda Kulia: Sheikh Suleiman Takadir, John Rupia na Julius Nyerere. Hao waliowazunguka ni TANU Bantu Group kundi la walinzi na wahamasishaji ..​

We mtu hatari ujue
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom