Sheikh Nurdin Kishki: Uchawa unakatazwa katika Uislam

Sheikh Nurdin Kishki: Uchawa unakatazwa katika Uislam

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Wakuu niaje?

Nimekutana na clip ya Sheikh Kishki akisema kuwa Uchawa (kujipendekeza kwa watu ili update maslahi kumekatazwa katika Uislam).

Vipi kuhusu viongozi wetu wa dini ambao wamekuwa machawa wabobevu?

Hebu msikilize mwenyewe hapo chini utie neno


 
Ikitokea video mbaya mtandaoni wanaruka nayo kuonya ukweli nikuwa hata wao niwafatiliaji wazuri tu.
 
Uchawa haukatazwi kwenye uislam kwani uislam ndio uchawa wa Ukristo. Ushawahi ona wapi chini ya Jua dini inalazimisha kuwa ndani ya dini nyingine?

Ushawahi ona Ukristo unauzungumzia uislam? Wao Quran ni copy na paste ya Bibliaa yule mkuresh kutunga yake mengine. Wao kila siku kulazimisha kuwa uislam upo ndani ya Biblia eti na Pedophilia ametabiliwa kwenye Biblia.😃😄😁😆

Huo si ndio uchawa? Uchawa ni kujikombakomba kwa mtu asiyekutaka kama ambavyo uislamu unajikombakomba kwa Ukristo nao ni uchawa kwa Ukristo. 😀😀😄
 
Uchawa haukatazwi kwenye uislam kwani uislam ndio uchawa wa Ukristo. Ushawahi ona wapi chini ya Jua dini inalazimisha kuwa ndani ya dini nyingine?

Ushawahi ona Ukristo unauzungumzia uislam? Wao Quran ni copy na paste ya Bibliaa yule mkuresh kutunga yake mengine. Wao kila siku kulazimisha kuwa uislam upo ndani ya Biblia eti na Pedophilia ametabiliwa kwenye Biblia.[emoji2][emoji1][emoji16][emoji38]

Huo si ndio uchawa? Uchawa ni kujikombakomba kwa mtu asiyekutaka kama ambavyo uislamu unajikombakomba kwa Ukristo nao ni uchawa kwa Ukristo. [emoji3][emoji3][emoji1]
Achana na udini huwezi kuleta hoja yako bila kutaja uislamu, kwa kweli hiyo dini inawaumiza kweli na hamuezi kuifanya chochote.
 
Mi sahihi kabisa, kujikomba komba, kujidhalilisha ili we ufaidike hakupendezi.
Machawa ni maadui wa taifa, wao ni kusifia tu, hata kama hakuna cha maana wanasifia tu wakitaka mambo yao yaende ama wapate uteuzi.
 
NA vipi kwa muislam anayefurahia kuwa na machawa?
 
hata sisi ma STOIC imani yetu inakata UCHAWA na machawa wapo katika kundi la watu wajingawajinga.
 
Mudi anakuaje prof wakati hata hakujua kusoma wala kuandika.
 
Uchawa haukatazwi kwenye uislam kwani uislam ndio uchawa wa Ukristo. Ushawahi ona wapi chini ya Jua dini inalazimisha kuwa ndani ya dini nyingine?

Ushawahi ona Ukristo unauzungumzia uislam? Wao Quran ni copy na paste ya Bibliaa yule mkuresh kutunga yake mengine. Wao kila siku kulazimisha kuwa uislam upo ndani ya Biblia eti na Pedophilia ametabiliwa kwenye Biblia.😃😄😁😆

Huo si ndio uchawa? Uchawa ni kujikombakomba kwa mtu asiyekutaka kama ambavyo uislamu unajikombakomba kwa Ukristo nao ni uchawa kwa Ukristo. 😀😀😄
We nawe unaandika kama mcenge
 
Mudi anakuaje prof wakati hata hakujua kusoma wala kuandika.
Unamshangaa Muddy, Mazinge mwenyewe asiyejua hata kuoga na kupiga mswaki naye ni Prof.

Kuna mwingine anaitwa dokoture Sulle mzee wa Majina naye ni Dr. 😀😀
 
Unamshangaa Muddy, Mazinge mwenyewe asiyejua hata kuoga na kupiga mswaki naye ni Prof.

Kuna mwingine anaitwa dokoture Sulle mzee wa Majina naye ni Dr. 😀😀
MNAJISUMBUA NYIE WASENGE NA CHUKI ZENU. WALA HAKUNA MNACHOWEZA KUBADILI ZAIDI YA KUJIONGEZEA VIDONDA VYA TUMBO.! NENDENI MKAANZGALIE PICHA ZA NGONO MANA NDIO MNACHOWEZA ILA KUTUMIA AKILI ZENU HAMTAWEZA MANA MSHAKARIRISHWA KUMCHUKIA PROPHET MUHAMMAD SWALAHULLAH ALAIH WASALAM

HUYU MTU MKIMSOMA KWA MAKINI NDIO MTAJIONA NYINYI NI WAJINGA ILA KAMA MNAKARIRI MANENO YA WATU MTAENDELEA KUMCHUKIA.

NA NDIO MAANA WATU WENYE AKILI WOTE WAKISIKIA HILO JINA WANATII AMRI ILA WAPIGA PUNYETO NDIO UTAWAONA CHUKI WAMEWEKA MBELE KULIKO UHALISIA.
 
Uchawa haukatazwi kwenye uislam kwani uislam ndio uchawa wa Ukristo. Ushawahi ona wapi chini ya Jua dini inalazimisha kuwa ndani ya dini nyingine?

Ushawahi ona Ukristo unauzungumzia uislam? Wao Quran ni copy na paste ya Bibliaa yule mkuresh kutunga yake mengine. Wao kila siku kulazimisha kuwa uislam upo ndani ya Biblia eti na Pedophilia ametabiliwa kwenye Biblia.😃😄😁😆

Huo si ndio uchawa? Uchawa ni kujikombakomba kwa mtu asiyekutaka kama ambavyo uislamu unajikombakomba kwa Ukristo nao ni uchawa kwa Ukristo. 😀😀😄
Cc: Malaria 2
FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom