Pre GE2025 Sheikh Ponda Issa Ponda aunga mkono Maandamano ya CHADEMA ya 24/01/2024

Pre GE2025 Sheikh Ponda Issa Ponda aunga mkono Maandamano ya CHADEMA ya 24/01/2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ponda Issa Ponda , ambaye ni miongoni mwa Mashehe Wachache wa eneo la Maziwa makuu wanaopigania haki , leo amejitokeza hadharani kuunga mkono maandamano ya Wananchi ya kupinga miswada mibovu ya Sheria za Uchaguzi

Shehe Ponda amedai kwamba kimsingi yale maoni ya wananchi , Wadau na Taasisi mbalimbali ndio katiba yenyewe na ni Katiba kamili , pale kinachokosekana ni Itifaki tu , hivyo yeyote anayepinga anapaswa kukemewa kwa nguvu zote .

View attachment 2879100

View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1749332280693465282?t=sVOmHUSYuEl6D1_MS9WyhQ&s=19
 
Sheikh Ponda sio wa kuaminika sana. Huwa anaangalia kanisa limeegemea wapi. Kanisa lingesema linaunga mkono basi ye asingetoa tamko. Ila jana KKKT wamesema wanaitii serikali nae kaibuka leo.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Panda alitoa kauli hiyo kabla ya Malasusa kutoa ule uharo wake
 
Back
Top Bottom