ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ponda Issa Ponda , ambaye ni miongoni mwa Mashehe Wachache wa eneo la Maziwa makuu wanaopigania haki , leo amejitokeza hadharani kuunga mkono maandamano ya Wananchi ya kupinga miswada mibovu ya Sheria za Uchaguzi
Shehe Ponda amedai kwamba kimsingi yale maoni ya wananchi , Wadau na Taasisi mbalimbali ndio katiba yenyewe na ni Katiba kamili , pale kinachokosekana ni Itifaki tu , hivyo yeyote anayepinga anapaswa kukemewa kwa nguvu zote .
View attachment 2879100
Hakuna mtu au kikundi kitaruhusiwa kuvuruga amaniSo what ?
huku joyce wowowo bashite akizidisha drama zake huko mikoaniccm wakisikia uungwaji unazidi kuongezeka mavi hayo yanagusa pichu nyambafu zao chawa hao!
Na wewe walikutupia jini la uchoko ukiona mwanaume tu unabong'oaHuyu alitupiwaga majini ya jalalani ambayo mara nyingi humfanya mtu awe kama mwehu, anakuwa anapenda vurugu.
Atafute maalim amtolee
Hakuna atakayevuruga amaniHakuna mtu au kikundi kitaruhusiwa kuvuruga amani
View: https://www.youtube.com/live/VAA2kTWwVzY?si=-5oR8WplyCPM1G1M
Kwani Kila shida inatatuliwa Kwa maandamano?Hakuna atakayevuruga amani
Mazungumzo mmeyakimbiaKwani Kila shida inatatuliwa Kwa maandamano?
Upo sahihiSheikh Ponda sio wa kuaminika sana. Huwa anaangalia kanisa limeegemea wapi. Kanisa lingesema linaunga mkono basi ye asingetoa tamko. Ila jana KKKT wamesema wanaitii serikali nae kaibuka leo.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
CCM ni wajinga snccm wakisikia uungwaji unazidi kuongezeka mavi hayo yanagusa pichu nyambafu zao chawa hao!
Panda alitoa kauli hiyo kabla ya Malasusa kutoa ule uharo wakeSheikh Ponda sio wa kuaminika sana. Huwa anaangalia kanisa limeegemea wapi. Kanisa lingesema linaunga mkono basi ye asingetoa tamko. Ila jana KKKT wamesema wanaitii serikali nae kaibuka leo.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app