Sheikh Ponda na Hukumu Yake

Sheikh Ponda na Hukumu Yake

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
Bila shaka kuna members wa JF wapo Mahakama ya Kisutu, tafadhali tujuzeni kuhusu hukumu yake ambayo ni leo.

NB: Namtakia kifungo chema
 
Bila shaka kuna members wa JF wapo Mahakama ya Kisutu, tafadhali tujuzeni kuhusu hukumu yake ambayo ni leo.

NB: Namtakia kifungo chema

Ashugulikiwe mapema, kabla hajafikia level ya Boko Haram, Alshabab na makundi mengineyo mengi ya Kiislam yanaifanya Dunia isiwe na amani alafu wanajifanya wanapigania haki fulani, I dont think kwamba wanamuabudu Mungu huyu tunayemuabudu nahisi wanamuabudu shetani maana tunaamini apendaye damu kumwagika ni Shetani
 
[h=3]HUKUMU YA PONDA YAINGIA DOSARI[/h]

sheikh%20mponda.jpg


Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Sheikhe Ponda Issa Ponda akihutubia baadhi ya wafuasi wake.
HUKUMU ya Kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya maandamano haramu imeahirishwa mpaka tarehe 9 mei mwaka huu.


Kesi hiyo imeharishwa baada ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Victoria Nongwa ,kutokuwepo Mahakamani hapo.


Awali hakimu huyo alitarajiwa kuketi katika kiti cha enzi na kutoa hukumu ya kesi hiyo Na.245/2012 inayomkabili Ponda na wenzake.


Aprili 3 mwaka huu:Mawakili wa upande wa Jamhuri ,Tumaini Kweka na Jessy Peter na mawakili wa utetezi Juma Nassor na Njama waliwasilisha majumuisho yao mahakamani hapo kwa njia ya maandishi ambapo mawakili wa upande wa jamhuri waliiomba mahakama iwaone washitakiwa wote wana hatia na wapewe adhabu kwa mujibu wa sheria.

Wakati mawakili wa utetezi waliiomba mahakama iwaone washitakiwa hawana hatia na iwaachilie huru kwa sababu hawakutenda makosa yanayowakabili na kwamba upande wa jamhuri umeshindwa kuthibitisha kesi yao.Chanzo habarimpya.com - Tanzania
My Take: Huu ni uonevu tu hii hukumu inataka kupikwa, hii inadhihirisha hana hatia sasa wanaanza dana dana tu ili aendelee kukaa mahabusu.
 
Tukubali tukatae ukweli utabaki kuwa ukweli, MALI ZA WAISLAMU ZINAHUJUMIWA.

Leo hii kama Mwl. Nyerere na Tewa Said Tewa wangekuwa hai nafikiri wangesikitika sana, na wao ndio wangekuwa mashahidi wa kwanza kwenye hii kesi, kiwanja hiki cha chang'ombe ni wao ndio walio kitoa kwa waislamu ili kijengwe Chuo cha waislamu.

Cha ajabu Leo hii viongozi wa bakwata wana amua kukata vipande vipande na kuuza, na pesa hazijulikani zilipo, sijui kwa manufaa ya nani?.

VIONGOZI WA DINI TUMUOGOPE MWENYEZI MUNGU NA TUJIEPUSHE NA TAMAA hebu tizameni watu wanahukumiwa bure, kisa ni TAMAA ZENU ziwaponza waumini wenu.

ANGALIZO
Hapa tusiilaumu Mahakama, wanaopaswa kulaumiwa ni uongozi wa BAKWATA (kwa sababu ya kutokuwa na uadilifu) na SERIKALI (kwa sababu BAKWATA ni trusteeship haina mamlaka ya kumega,kugawa nk. mali yeyote iliyo chini ya udhamini wake-Rejea taarifa ya tume iliyo iunda kuchunguza mgogoro huu).

Ole wenu mnaojifanya viongozi wa dini kwa maslahi yenu!!!!!.
 
Tukubali tukatae ukweli utabaki kuwa ukweli, MALI ZA WAISLAMU ZINAHUJUMIWA.

Leo hii kama Mwl. Nyerere na Tewa Said Tewa wangekuwa hai nafikiri wangesikitika sana, na wao ndio wangekuwa mashahidi wa kwanza kwenye hii kesi, kiwanja hiki cha chang'ombe ni wao ndio walio kitoa kwa waislamu ili kijengwe Chuo cha waislamu.

Cha ajabu Leo hii viongozi wa bakwata wana amua kukata vipande vipande na kuuza, na pesa hazijulikani zilipo, sijui kwa manufaa ya nani?.

VIONGOZI WA DINI TUMUOGOPE MWENYEZI MUNGU NA TUJIEPUSHE NA TAMAA hebu tizameni watu wanahukumiwa bure, kisa ni TAMAA ZENU ziwaponza waumini wenu. OLE WENU!!!!!.
Sasa kw mujibu wa maelezo yako wanaohujumu mali ya waislamu ni kina nani? kesi iliyopo mahakamani ni ya nani dhidi ya nani? je! unadhani mahakama itakuwa inapendelea! kama ndio; itakuwa inapendelea upande gani? kwa nini na wewe umejua je?
Mimi nadhani tusubiri kupokea maamuzi ya mahakama kwa kuwa ndio imesikiliza hoja za pande zote.
 
Ashugulikiwe mapema, kabla hajafikia level ya Boko Haram, Alshabab na makundi mengineyo mengi ya Kiislam yanaifanya Dunia isiwe na amani alafu wanajifanya wanapigania haki fulani, I dont think kwamba wanamuabudu Mungu huyu tunayemuabudu nahisi wanamuabudu shetani maana tunaamini apendaye damu kumwagika ni Shetani

Wewe huwezi pia kuwa MKRISTO sahihi, haujaponywa kwa damu ya yesu
 
Sasa kw mujibu wa maelezo yako wanaohujumu mali ya waislamu ni kina nani? kesi iliyopo mahakamani ni ya nani dhidi ya nani? je! unadhani mahakama itakuwa inapendelea! kama ndio; itakuwa inapendelea upande gani? kwa nini na wewe umejua je?
Mimi nadhani tusubiri kupokea maamuzi ya mahakama kwa kuwa ndio imesikiliza hoja za pande zote.

Hizo unaleta siasa, Mkuu hapo juu kaeleza wazi kabisa. Au ww hujui Bakwata ni nani, wanalipwa na nani na wanafuata maagizo ya nani?
Tafuta majibu ya haya ndo utajua shida ya waislam iko wapi.
Japo imepgwa marufuku ila tafuta cd 'bakwata ni tawi la kanisa' unaweza itazama hata kwenye you tube.
Itakupa mwongozo.
 
bila shaka kuna members wa jf wapo mahakama ya kisutu, tafadhali tujuzeni kuhusu hukumu yake ambayo ni leo.

Nb: Namtakia kifungo chema

amesha achiwa kuhuru, hakua na kesi ya kujibu, hakimu ameamuru alipwe fidia na kurudishiwa kiwanja chake cha chongombe.
 
HUKUMU YA PONDA YAINGIA DOSARI



sheikh%20mponda.jpg


Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Sheikhe Ponda Issa Ponda akihutubia baadhi ya wafuasi wake.
HUKUMU ya Kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya maandamano haramu imeahirishwa mpaka tarehe 9 mei mwaka huu.


Kesi hiyo imeharishwa baada ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Victoria Nongwa ,kutokuwepo Mahakamani hapo.


Awali hakimu huyo alitarajiwa kuketi katika kiti cha enzi na kutoa hukumu ya kesi hiyo Na.245/2012 inayomkabili Ponda na wenzake.


Aprili 3 mwaka huu:Mawakili wa upande wa Jamhuri ,Tumaini Kweka na Jessy Peter na mawakili wa utetezi Juma Nassor na Njama waliwasilisha majumuisho yao mahakamani hapo kwa njia ya maandishi ambapo mawakili wa upande wa jamhuri waliiomba mahakama iwaone washitakiwa wote wana hatia na wapewe adhabu kwa mujibu wa sheria.
Wakati mawakili wa utetezi waliiomba mahakama iwaone washitakiwa hawana hatia na iwaachilie huru kwa sababu hawakutenda makosa yanayowakabili na kwamba upande wa jamhuri umeshindwa kuthibitisha kesi yao.Chanzo habarimpya.com - Tanzania
My Take: Huu ni uonevu tu hii hukumu inataka kupikwa, hii inadhihirisha hana hatia sasa wanaanza dana dana tu ili aendelee kukaa mahabusu.
Mtu huyu anastahili kuwa jela kwa miaka mingi kwa kuhamasisha vurugu za kidini. Kuahirishwa hukumu inatia shaka kwa haki kutendeka ikizingatiwa rekodi mbaya ya mahakama zetu.
 
Sasa kw mujibu wa maelezo yako wanaohujumu mali ya waislamu ni kina nani? kesi iliyopo mahakamani ni ya nani dhidi ya nani? je! unadhani mahakama itakuwa inapendelea! kama ndio; itakuwa inapendelea upande gani? kwa nini na wewe umejua je?
Mimi nadhani tusubiri kupokea maamuzi ya mahakama kwa kuwa ndio imesikiliza hoja za pande zote.

SAMAHANI nimefanya marekebisho rejea kusoma tena maandiko niliyo wasilisha.
 
Ashugulikiwe mapema, kabla hajafikia level ya Boko Haram, Alshabab na makundi mengineyo mengi ya Kiislam yanaifanya Dunia isiwe na amani alafu wanajifanya wanapigania haki fulani, I dont think kwamba wanamuabudu Mungu huyu tunayemuabudu nahisi wanamuabudu shetani maana tunaamini apendaye damu kumwagika ni Shetani

Wakiristu aka Wagalatia ndio waliomwaga damu ya mungu wao na ushahidi wanao, wanainywa na mkate !

Mungu wa Waislaam (SWT) ni huyu:

"Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipokuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye Salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake. Mwenye Nguvu, anaye fanya analolitaka, Mkubwa, na ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo. Qur'an: 59:23.
 
HUKUMU YA PONDA YAINGIA DOSARI



sheikh%20mponda.jpg


Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Sheikhe Ponda Issa Ponda akihutubia baadhi ya wafuasi wake.
HUKUMU ya Kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya maandamano haramu imeahirishwa mpaka tarehe 9 mei mwaka huu.


Kesi hiyo imeharishwa baada ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Victoria Nongwa ,kutokuwepo Mahakamani hapo.


Awali hakimu huyo alitarajiwa kuketi katika kiti cha enzi na kutoa hukumu ya kesi hiyo Na.245/2012 inayomkabili Ponda na wenzake.


Aprili 3 mwaka huu:Mawakili wa upande wa Jamhuri ,Tumaini Kweka na Jessy Peter na mawakili wa utetezi Juma Nassor na Njama waliwasilisha majumuisho yao mahakamani hapo kwa njia ya maandishi ambapo mawakili wa upande wa jamhuri waliiomba mahakama iwaone washitakiwa wote wana hatia na wapewe adhabu kwa mujibu wa sheria.
Wakati mawakili wa utetezi waliiomba mahakama iwaone washitakiwa hawana hatia na iwaachilie huru kwa sababu hawakutenda makosa yanayowakabili na kwamba upande wa jamhuri umeshindwa kuthibitisha kesi yao.Chanzo habarimpya.com - Tanzania
My Take: Huu ni uonevu tu hii hukumu inataka kupikwa, hii inadhihirisha hana hatia sasa wanaanza dana dana tu ili aendelee kukaa mahabusu.


Apumzishwe kwa miaka mitano sehemu salama gerezani ili asiendelee kuchochea vurugu
 
Alieanzisha uzi ametaka kupata maendeleo ya hukumu, wengine mnalumbana vitu visivyohusiana na uzi wenyewe. Kwani nini msisubiri tupate updates kutoka Mahakamani?

Duh,

Olowarukerikeri
 
Wakiristu aka Wagalatia ndio waliomwaga damu ya mungu wao na ushahidi wanao, wanainywa na mkate !

Mungu wa Waislaam (SWT) ni huyu:

"Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipokuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye Salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake. Mwenye Nguvu, anaye fanya analolitaka, Mkubwa, na ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo. Qur'an: 59:23.

Mungu wa 1.boko haram, 2.Alshabab, 3.Alqaeda 4.Hamas 5.Janjaweed 6.al-Gama'a al-Islamiyya.....................101.Hezbollah Kuna makundi ya kigaidi ya Kiislam duniani zaidi ya miamoja yote yanaua watu watoto, wanawake na wazee wasio na hatia na kwenda kupongezana kwenye Ibada kwa kutumia misahafu ya Kiislam of which wewe na Ponda mnaitumia.
 
Back
Top Bottom