Sheikh Rajabu Ibrahim Kirama na adhabu ya viboko Machame Nkuu 1930

Sheikh Rajabu Ibrahim Kirama na adhabu ya viboko Machame Nkuu 1930

Historia rasmi inayofundishwa Tanzania inatuambia Mwalimu Julius K. Nyerere alikuwa ni mmojawapo wa watu waliokuwa mstari wa mbele kabisa kupambana na ukoloni, na wala hata hiyo historia haitaji dini ya huyo mpambanaji
Faru...
Nyerere kapata kusema Mkristo alikuwa yeye na John Rupia.
Angalia picha hiyo hapo chini:

1609732825134.png


Usitishike na historia hii haya yote yanaelezeka wala hapana haja ya kuwabeza wale ambao walisita kuingia katika harakati kwa haraka.

Hizi zote ni changamoto za ukoloni.
Wagawe uwatawale.

Historia rasmi ina makosa makubwa.
Haya makosa ndiyo yaliyonifanya niandike kitabu cha Abdul Sykes (1998).

1609733087024.png
 
Kwa hiyo mkoloni mweusi amerudi kupitia mlango wa nyuma!!
 
Nyerere kapata kusema Mkristo alikuwa yeye na John Rupia.
Nimesema historia inayofundishwa rasmi Tanzania haionyeshi haja ya kutaja dini za wapambania uhuru, sijazungumzia speech ya mwalimu Julius mwenyewe. Wewe historia zako zinataja dini za wapambanaji. Hata mimi ningekuwa na mamlaka serikalini nisingeruhusu kitabu cha historia kinachotamka kwamba wapambania uhuru wa nchi hii walikuwa ni wa dini fulani
 
Nimesema historia inayofundishwa rasmi Tanzania haionyeshi haja ya kutaja dini za wapambania uhuru, sijazungumzia speech ya mwalimu Julius mwenyewe. Wewe historia zako zinataja dini za wapambanaji. Hata mimi ningekuwa na mamlaka serikalini nisingeruhusu kitabu cha historia kinachotamka kwamba wapambania uhuru wa nchi hii walikuwa ni wa dini fulani
Faru...
Sina tatizo na fikra zako kwa kuwa kuna mengi usiyoyajua kuhusu kuandikwa kwa historia ya uhuru wa Tanganyika.

Ila nitakugusia kitu.

Waliokuja kuandika historia ya uhuru si kuwa hawakutaja dini bali waliwafuta wote waliopigania uhuru wa Tanganyika kwa kuhofia dini zao.

Mfano mzuri ni kuandika historia ya uhuru wa Kenya ukakataa kumtaja Dedan Kimathi na Mau Mau ukihofu kuwataja Wakikiyu.
 
Mfano mzuri ni kuandika historia ya uhuru wa Kenya ukakataa kumtaja Dedan Kimathi na Mau Mau ukihofu kuwataja Wakikiyu.
Kumtaja mpigania uhuru ni sahihi na ndiyo historia yenyewe. Kumtaja mpigania uhuru na kuendelea mbele zaidi kusema wapigania uhuru wa nchi hii walikuwa Wakikuyu, hiyo si sahihi, ina lengo lake nyuma lenye nia ovu ya kugawa makabila

Kuhusu kutawaliwa Tanganyika iko huru na waliokuwa mstari wa mbele kabisa kupambana na ukoloni ni Waislam.
 
Kumtaja mpigania uhuru ni sahihi na ndiyo historia yenyewe. Kumtaja mpigania uhuru na kuendelea mbele zaidi kusema wapigania uhuru wa nchi hii walikuwa Wakikuyu, hiyo si sahihi, ina lengo lake nyuma lenye nia ovu ya kugawa makabila
Faru...
Sina tatizo na fikra zako.

Tatizo langu na ndiyo nikaamua kuandika kitabu cha Abdul Sykes ni pale nilipogundua kuwa historia ya TANU imepotoshwa pakubwa kwa hofu ya kuwa ikiandikwa ipasavyo Waislam watatokeza sana.

Sasa sijui mwenye nia ya uovu ni nani.
 
Back
Top Bottom