Uchaguzi 2020 Sheikh Sharif Majini achukua fomu za Ubunge Handeni vijijini kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Sheikh Sharif Majini achukua fomu za Ubunge Handeni vijijini kupitia CCM

duuh, mbona naona vita za majini, mapepo, malaika, huu uchaguzi wa mwaka huu jpm ana kazi kubwa sana
 
Mgombea ubunge jimbo la Handeni vijijini Hussein Msopa maarufu kama Sheikh Sharif Majini ni mmoja wa wagombea walionitokeza leo na amefika ofisi za CCM wilaya ya Handeni kwa ajili ya kusalimia na baadae kuelekea ofisi ndogo ya CCM Mkata kuchukua fomu ya ugombea ubunge.


Bungeni patanoga huku Nabii Shilla hapa Sheikh Sharif majini kule askofu Gwajima Shetani lazima akimbie.

Maendeleo hayana vyama!
Hakuna Sheikh wala Sharifu hapa...
Bali ni mlaji na mroho tu kupitia wajinga
 
Mgombea Ubunge jimbo la Handeni vijijini Hussein Msopa maarufu kama Sheikh Sharif Majini ni mmoja wa wagombea walionitokeza leo na amefika ofisi za CCM wilaya ya Handeni kwa ajili ya kusalimia na baadae kuelekea ofisi ndogo ya CCM Mkata kuchukua fomu ya kugombea Ubunge.


Bungeni patanoga huku Nabii Shilla hapa Sheikh Sharif majini kule askofu Gwajima Shetani lazima akimbie.

Maendeleo hayana vyama!
Shetani (CCM) atakua amewakutanisha Wajumbe wake
 
Uchukuaji form unaendelea,yule mtoa majini maarifu Sheikh Sharrif Majini achukua form
Screenshot_20200717-125944.jpg
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Watu kama hao ndio tunaowataka ili wadhihirishe umwamba wao. Sasa autumie majini kubadili wajumbe wampitishe na siku ya kura majini yakaibe kura zote. Baada ya hapo atakuwa na soko kubwa sana na atakuwa raisi ajae
 
Atayeshindana nae anaweza kutupiwa jini mahaba,muda wote anakua anataka anjunjwe tu(haijalishi ni mwanaume au mwanamke).
 
Watu kama hao ndio tunaowataka ili wadhihirishe umwamba wao. Sasa autumie majini kubadili wajumbe wampitishe na siku ya kura majini yakaibe kura zote. Baada ya hapo atakuwa na soko kubwa sana na atakuwa raisi ajae
[/QUOTE

Uchawi la majini ni myth tu.. ila haupo..

Huyu mganga Atakatwa kama wenzake ila atazuga majini yamekataa asiwe mbunge..

Sawa na gwajima nae atasema Roho mtakatifu amekataa asiende bungeni
 
Back
Top Bottom