Sheikh Sharifu Mikidadi alikosa kosa kumchoma mtu kisu utotoni Mimi Deo Kisandu nikampanchi

Inasemekana huyu mtu ni tapeli hatare saaana! amkeni ndugu achaneni na utapeli wa huyu mtu. Pigeni goti kwa muumba wenu tu!
 
Yaani mwenzako anakoswakoswa na kifo wewe unasema ulicheka sana na kumkebehi? Kweli wewe hamnazo! Je kama kile kisu kisingejikunja huyo Atanas angepona? Na wewe ungeendelea kucheka? Au ulikuwa unataka amjeruhi mwenzake? Fikiri kabla ya kuandika ujinga wako, unaweza ukajikuta mahali pabaya.
 
Sharifu majini huyu anayeonekana channel 10? Kama ni huyu Mbona alikuwa muhuni tu wa pale mabibo. Au wewe unamzungumzia shekh Sharifu yule aliyeanza kuongea akiwa na siku moja
hahaaa huyu kweli juha...SHEkhe sharifu majini tangu lini alikuwa akifnya mihadhara toka utotoni yaani ubongo wake umestack mpka hajui anayemzungumzia niyupi.
huyo anayemzungumzia hapo ni shekhe sharifu mikidadi mwenyeji wa tabora ..ambaye kwa sasa anaishi dar ..zamani alikuwa anazunguka kwenye mihadhara nakina mazinge na dk.sule na baadhi ya mashekhe wengine nimewasahau majina ..sema naskia nae sikuhizi kawa mpigaji tu namnamo mwaka juzi alipatwa na skendo ya ngono yakutembea na mke wamtu ...shekhe majini huyo nimjanja mjnja tu mtoto wa town nae mpigaji kinyama...ukijichangnya bhasi manyoya. .
 
UKiwa verified user, unatakiwa uwe na hekima na busara. Vinginevyo, utaonekana kuwa ni verified user ambaye ni mjinga na mpumbavu.
Mind you, Ujinga na Upumbavu si tusi, ila ni maneno wapewayo watu wanaotakiwa kujifunza ili kufahamu zaidi kile ambacho wanacho-kipumbazikia.
Hapy New Year Mr. Deogratius Nalimi Kisandu.
 
Hizi Imani za Kisharifu,hususan hawa watt waliozuka na kudai kuwa wameongea utotoni katika zetu hizi,

Ni utapeli na Uislam upo mbali na wao na mambo yao


Uislam umekuja kwa misingi yake maalum iliyomadhubuti

Uislam unakataza Shirki kwa namna zake zote

Uislam,upo mbali na Ushirikina na watu wake


Hakuna kheri,kwa mtu anaejinasibisha na Uislam,kisha akawa mshirikina
Hakuna kheri kwake hapa Duniani na kesho Akhera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…