Sheikh Sharifu Mikidadi alikosa kosa kumchoma mtu kisu utotoni Mimi Deo Kisandu nikampanchi

Ahahahha, huyu jamaa ni kituko sana, kama dish la startimes kipind cha mvua
Nimegundua mwezi ukiandama au ukikaribia kuandama. Katika Jamii Forum kunakuwa na Threads nyingi sana. Hii inaonyesha kuna na viwango vya machizi fresh
 
Sijelewa umedhamiria kusema nini

Sharif majini chief msopa kada wa chama cha mapinduzi

Sharif mikidadi matongo au sheikh Sharif

Hawa si rejea katika uislam

Usijifunze dini hii kwa kuwatazama watu bali uko msingi wa dini hii nayo ni Quran
 


Kwahiyo unasema ulitupiwa majini na Sheikh Sharif ndio maana dish limecheza?
 
Yaani uneleta mada kiuhanjaujanja ili isifutwe. Tumekushitukia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…