Sina chuki na masheikh kwa sababu ni viongozi wangu. Na mzaha hata msibani upo. Mimi ni muislam safi tena kuliko wewe.
Mtume Muhamad saw aliwahi fanya mzaha lakini hakuwahi kutukana. Allah akufnyie wepesi kuacha kutukana. Sema amiiin
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huu ndio ukafiri wangu sababu tu kuchukizwa kumfananisha shekhe na mwanamke
Na huu ndio ukafiri wangu sababu tu kuchukizwa kumfananisha shekhe na mwanamke
Nyie ndio wale waislam mnaye fanya tuchukiwe duniani. Huna tofauti na ISIS. Mtume Muhamad saw alifanya mizaha mingi. Mojawapo ni alimbeba mtoto mdogo na kumuita kindege. Ya pili alimwambia sahaba yake mbona macho yamekua meupe akimaanisha amekua kipofu na baada ya mda akamuambia ni utani. Hii ni dini ya Allah na inahitaji busara kuliko nguvu matusi na fujo.Dini ya kiislamu inakataza mzaha sehemu yoyote sio tu msibani.tena unapokuwa makaburini hutakiwi kusema neno lolote ila kumtaja allah tu.wewe ni muislamu wa wapi unasema dini inaruhusu mzaha waislamu ubwabwa mpo wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha alhamdulilah hakufanyiwa maana haumwi. Wewe umefanyiwa nyambura na umekutwa na ummy?Kwani mama yako alifanyiwa nyambura weww ni mkristo unajifanya muislamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jilinde, linda familia yako na uwapendao. Usitegemee serekaliUmati uliojitokeza kumzika Shekhe unatia simanzi, Hawa wanaume walioshiriki Wana wake zao, Wana watoto, Wana marafiki, hao watoto nao Wana marafiki.
Kwanini tumeifanya Tanzania nchi ya mzaa kwenye afya za watu?
Wapo watu hapo wanaenda kuwaambukiza watu wasio na hati corona....tunataka kuzika Kama ulaya ndipo tujue corona IPO?
Serikali pls waoneeni wananchi huruma, viongozi wa dini waoneeni wannchi huruma,.
TUNAUANA
Kijana uwe unafanya tafiti kabla ya ukurupuka...nani alikwambia kanzu huvaliwa na waislam pekee....? Kula urojo utulie.Hii nadhani in element ya watu kutaka kutumia vibaya baadhi ya Mambo ya kiimani, unapoona baadhi ya Christian wamevaa kanzu kwenye maandamano ya kwenda kumhifadhi shekhe katika kipindi hiki Cha covid 19 unapata wasiwasi je, tunamtumikia Nani au tunataka kumwaminisha Nani kwamba mikusanyiko Ni muhimu wakati huu.
Then serikali Kama imetulia hata makatazo hakuna, hapana hapa kuna watu waliopangwa....
Jipe muda zipitie zile picha utaona watu ambao naamini walifanya Mambo haya kimkakati na walichukua taadhari zote za kujikinga huku baadhi ya wananchi wakiwa hawajui.
Ewe mwananchi, chukua taadhari Corona inaua. Epuka kufuata mkumbo
ukitangaza marehemu kafa na corona unao!May be watakuwa vijana wa TISS wapo kazini.
Huwa ni kiherehere cha kidini kuvaa mavazi yasiyokuwa yako kiimani
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Kwahiyo saivi tubaguane kwenye mazishiHii nadhani in element ya watu kutaka kutumia vibaya baadhi ya Mambo ya kiimani, unapoona baadhi ya Christian wamevaa kanzu kwenye maandamano ya kwenda kumhifadhi shekhe katika kipindi hiki Cha covid 19 unapata wasiwasi je, tunamtumikia Nani au tunataka kumwaminisha Nani kwamba mikusanyiko Ni muhimu wakati huu.
Then serikali Kama imetulia hata makatazo hakuna, hapana hapa kuna watu waliopangwa....
Jipe muda zipitie zile picha utaona watu ambao naamini walifanya Mambo haya kimkakati na walichukua taadhari zote za kujikinga huku baadhi ya wananchi wakiwa hawajui.
Ewe mwananchi, chukua taadhari Corona inaua. Epuka kufuata mkumbo
Wamedata kila kilicho mbele yao wanadandiaChadema mnaleta wivu hadi kwenye msiba?